Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ichoboy01 chek hizi ni nchi zilizoendelea duniani ambazo kenya hautawahi fika level of their development until the end of this worl na zebra cross zipo everywhere 👇View attachment 2683799View attachment 2683801View attachment 2683804View attachment 2683805.. hii ni huko duniani kwa wanaowagea misaada .. wao akina BlietzKrieg. Wanaona kuweka pedestrian bridges everywhere ndio maendeleo 🤣🤣🤣
Ogopa njaa mzee hawa watu nikama wamekua wehu sababu ya njaa yani hajui hata faida na maana ya zebra crossing yeye anawaza pedestrian bridge ambazo kwao sasa hvi zimegeuka kua vyoo vya binaadamu na wanyama 😁😁😁😁😁

Ona maajabu ya karne sasa👇👇
 
Ogopa njaa mzee hawa watu nikama wamekua wehu sababu ya njaa yani hajui hata faida na maana ya zebra crossing yeye anawaza pedestrian bridge ambazo kwao sasa hvi zimegeuka kua vyoo vya binaadamu na wanyama 😁😁😁😁😁

Ona maajabu ya karne sasa👇👇

Mzee wa kuokota ma tweet🤣🤣
 
Angalieni hii cow shade ya shakahola tena ya mbunge 😂😂😂 Halafu kutana nao JF wanavyoponda nyumba za Tanzania na Nigerian 😂😂😂

20230710_135141.jpg


 
Zile kilometres zenu za lami mnazitoa wap...kama barabara kubwa kama hii haina lami...

Tanzania hakuna barabara long kiasi hicho haina lami...na Tz ni kubwa karibu mara mbili ya kenya...nyie kilometres zote mnazitoa wap kama hampiki data
Zinatoka kwa access roads ambazo ndio zinaingia Hadi kwa mwananchi wa chini.
Class C and D roads.
 
Pedestrian bridge inawekwa sehemu maalumu kulingana uwingi wa watu sio kama nyinyi machizi kondoo munajenga miradi ya ovyo na kuiba pesa za uma bila faida yoyote

Ndio maana mumekaa kama vichaa 😅😅
View attachment 2683763
Mmmmmmmmaeeeeee Hi si unafika ofisini unanuka kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣, Ndio maana wanaombewa wasiende hell maana tayari wameishi hell maisha yao yote . Rangi ya taka tu inaonyesha zimedumaaa hapo muda mrefu yaani ni kipindupindu kila moja anapeleka nyumbani, ofisini na popote watakapogusa au kukanyaga, yaani ni wasambazaji wa taka hawa wahuni 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Zinatoka kwa access roads ambazo ndio zinaingia Hadi kwa mwananchi wa chini.
Class C and D roads.
Yaan nyie hamkosi visingizio mkibanwa...
Access roads tu Eastleigh one of you business hub ni vumbi na matope tupu...

Bado barabara za vijijini kama kule nyabohanse kwa kina Marwa

Access gan mnaongelea
 
Nimecheka kwa nguvu mno DAR is three times larger to Nairobi. Hata estate zote with in DAR kama zitakua na barabara za vumbi basi hizo main roads zinatoshana na size ya barabara zote za lami in your Nairobi.. pitia ujionee njia kubwa tu za lami ndani ya View attachment 2683817
Tazama urefu wa lami kwenye haka kasehemu ka Nairobi
1688991848967.jpg

Alafu ulinganishe na dar
1688992088746.jpg


Narudia, Nairobi ina lami mara 20 ya dar if not more
 
Back
Top Bottom