Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Wewe jamaa kweli unaliwa wewe si bure, Kwahyo unalinganisha streets roads network vs regional road network. 🤣🤣🤣 Urefu wa barabara moja in dar ni zaidi ya urefu wa barabara zote zinazoonekana kwenye hiyo ramani uliyoweka kichaa wewe 🤣🤣Tazama urefu wa lami kwenye haka kasehemu ka Nairobi
View attachment 2683959
Alafu ulinganishe na dar
View attachment 2683960
Narudia, Nairobi ina lami mara 20 ya dar if not more
