Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukabila unakuharibu namna gani? am very prpud of my tribe heritage amd culture mimi sio mtumwa wa CCM kama wadanganyika.
Only Damganyikans are not proud of their tribes [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Achia jaluo madaraka tuone kweli hamuna tribalism 😅😅😅

Tribalism ndio inatafuna nyama zenu ndani kwa ndani leo ukienda kuchungulia serrkali utakuta imejaa kikuyu na kalenjin viongozi wote kwenye sector nyeti wapo kikuyu na kalenjin kama unabisha sema?😅😅😅
 
Dictatorship ni ile rais anatoka kwenye kabila hilo hilo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mbona hatuoni makabila mengine kenya wakishika madaraka zaidi ya kikuyu na kalenjin ambao ni wale wale tu

Kenya kuna makabila zaidi ya 60 lakini hatujawah sikia rais ni mjaluo au mmasai au mdigo etc [emoji28][emoji28][emoji28]

Au maana ya dictatorship huijui wewe
Democracy is about votes sio ukabila and CCM wins in Tanzania with 99% hadi wabunge wanapitisha sheria mbaya za kiCCM sababu wao ndio wengi bunge. Reminds me of the former soviet union elections ambako rais alikua anashinda kura zote kama Lukashenko huko Belarus 90%
 
ata USA wametawaliwa na clinton family na bush family kwa muda, but bado ni the father of democracy duniani..sasa na Tanzania ni chama kimoja kama North Korea utasema nini?
Hahahaha, Clinton family ipi iliyotawala zaidi ya Bill Clinton?. Ninyi kabila mbili tu ndio zimetawala Kenya, na sio nafasi ya urais pekee, 75% ya ajira serikali ni kabila mbili tu, wapi duniani umeona kitu Kama hicho?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Lakini rais lazima atoke kwa chama kimoja tangu uhuru CCM kama North Korea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Hiyo inaitwa Dictatorship kwa lugha ya English ambayo najua wadanganyika wengi hamuelewi
South Africa, Mozambique, Botswana, Angola, Namibia and Sychelles are among the most ranked highly in democracy, but are under one party since independence.

My friend, in Tanzania anybody has a chance to be a president, you need to be a member of a political party which has majority in the country.

In Kenya, the fact that you are not member of big three tribes, you are a cursed person, don't even dream to contest for the post.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ukitaka kua rais Danganyika ata kama una Kabila lote nyuma yako huwezi hadi ulambe matako ya CCM tangu 1960... what a failed coumtry. in developed countries kama kenya na USA its the numbers that matter.
Kabila?, Kwahiyo kwenu kabila ndio muhimu kupata urais?[emoji237][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ukabila unakuharibu namna gani? am very prpud of my tribe heritage amd culture mimi sio mtumwa wa CCM kama wadanganyika.
Only Damganyikans are not proud of their tribes [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe uko proud na kabila au ukabila, Kenya mnatumia ukabila katika kuwania nafasi za kisiasa na kazi, huo ni ujinga na upumbavu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Democracy is about votes sio ukabila and CCM wins in Tanzania with 99% hadi wabunge wanapitisha sheria mbaya za kiCCM sababu wao ndio wengi bunge. Reminds me of the former soviet union elections ambako rais alikua anashinda kura zote kama Lukashenko huko Belarus 90%
Kwahiyo Kenya wenye kupigiwa kura ni kabila mbili tu pekee au kabila zingine hawagombei?, Vipi kuhusu nafasi za ajira serikalini, mbona ni kabila hizo hizo mbili pekee?.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Democracy is about votes sio ukabila and CCM wins in Tanzania with 99% hadi wabunge wanapitisha sheria mbaya za kiCCM sababu wao ndio wengi bunge. Reminds me of the former soviet union elections ambako rais alikua anashinda kura zote kama Lukashenko huko Belarus 90%
Sasa kama wanashinda CCM ulitaka vipi??

Kwann odinga anashinda kwenu na bado munaiba umesahau 2007 ilitokea nn kwenu?

Wabunge wanapitisha sheria mbaya ipi hebu tutajie moja na mm nikuulize ile sheria ya 16% vat on fuel waliopitisha wabunge wenu walikua wamelewa au??😅😅😅😅

Magufuli ndio alishinda kwa kura nyingi na jibu unalijua kua alifanya vitu vikubwa katika nchi hii na hasa kumuonea hurum mtu wa chini au sio kweli??

Ruto aliahidi nn mama mboga na boda boda mbona wanalia sasa 😅😅😅😅
 
Mjomba unataka na wewe uonyeshwe makanisa kwenye vijiji vya Tz mana mwenzako alipost kanisa Aki claim that kijiji ni tajiri.
Kwa hivo nikisema Luxembourg Ni mji tajiri duniani na nipost picha ya kanisa Luxembourg utapinga eti kisa kuna kanisa hadi kijijini mwako? Mbona mnakuanga na uelewa duni hivi?
 
Back
Top Bottom