Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenyatta kikuyu
Moi kalenjin
Kibaki kikuyu
Uhuru kikuyu
Ruto kalenjin

Haya tuambie kenya kuna makabila mangapi tuone 😅😅😅😅😅 na ukumbuke kabila la kikuyu na kalenjin wanaukaribu mkubwa sana hakuna asiejua hilo
Na unaweza kukuta huyo unayejibishana naye anatokea kwenye moja ya hizo kabila mbili🤣🤣
 
Beautiful
FB_IMG_16883215858169678.jpg
 
Hivi Kenya Kuna jeshi au kundi la wavuta bangi?, Yaani zaidi ya wanamgambo 1000 wanaingia Kenya na kufanya mauaji na kuondoka bila hata kujulikana.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Yaani hata mwenye kiti wa kitongoji hajui kama kuna kundi la wahuni wamevamia!!!! Sijui ni serikali ya aina gani wanayoiongoza hawa mashakahola
 
kenyatta famy walitoka kitambo buda..kenya sio kama CCM
sa hii ni hustler rais and so forth
Viongozi wenu ni walewale wakiona jina la chama ambacho wako nacho madaraka halipendwi Wanabadili jina la chama na kurudi madarakani kwa jina tofauti ili kuwahadaa tu wakenya wapinzani wa Kenya wa muda wote ni familia ya odinga toka enzi za baba yake nae Sasa anazeeka Sasa niambie lini odinga aliingia madarakani?

Yani uhuroto wameiharibu Kenya kwa ufisadi na wizi kwa jina la jubilee Wanabadili majina na kujiita jina jingine na kujifanya hawahusiki na ufisadi wa awamu iliyopita hiyo Si hadaa?

Hata uchaguzi ujao chama cha UDA kikichafuka ruto atabadili jina la chama na kuwahadaa wakenya kwamba yeye hahusiki na uchafu wa UDA na wakenya walivyo mazezeta watapiga makofi hao ndio magansta wa Kikuyu na kalenjini walivyoigeuza Kenya shamba lao
 
Kenyatta kikuyu
Moi kalenjin
Kibaki kikuyu
Uhuru kikuyu
Ruto kalenjin

Haya tuambie kenya kuna makabila mangapi tuone 😅😅😅😅😅 na ukumbuke kabila la kikuyu na kalenjin wanaukaribu mkubwa sana hakuna asiejua hilo
Wanabadili majina ya vyama lakini suru zilezile
 
Back
Top Bottom