Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka hoja unazo, achana na mambo ya uarabu wake. Mambo ya rangi wala kabila achana nayo
Mwache tu ila mm nachotaka nikufkisha ujumbe aelewe maovu ya hao anaowashangilia na kuwatetea 😅😅😅 hii dunia hakuna kitu utaficha kikawa siri ya milele
 
Kesho utaskia wanakwambia wao ndio waliopeleka kiswahili africa 😅😅😅
20230702_212919.jpg
 
Wakenya wote humu muungane mukaandamane kwa bidii 😅😅😅😅😅😅
 
ukiwa hujatoka nje ya Kunyaland unafikiri dunia inazunguka hapo Ukunyani! sasa unataka kusema hii area inapita some areas in SA? Unajua Gauteng rural area inakaaje? Western Cape Province?
Mbona Watanzania lazy hivi!? Kama unabisha, kafanye utafiti mwenyewe.
Tigoni is not an estate, just a rural area setup.
Screenshot_2023-06-30-04-17-28-45_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329.jpg
 
Moi, Kibaki, Kenyatta na Ruto wote ni koo tofauti, kwani CCM wanafunza nini huko chuo za kidanganyika?
Kenyatta kikuyu
Moi kalenjin
Kibaki kikuyu
Uhuru kikuyu
Ruto kalenjin

Haya tuambie kenya kuna makabila mangapi tuone 😅😅😅😅😅 na ukumbuke kabila la kikuyu na kalenjin wanaukaribu mkubwa sana hakuna asiejua hilo
 
Haki za binaadamu hatuzioni kwao ila ingekua africa anafanyiwa mzungu dunia ingesmama
 
Back
Top Bottom