joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Mbona Saudia haikuwekewa vikwazo vya uchumi ilipopeleka genge la wauaji Uturiki kumuua Jamal Khashoogi?, mbona Rwanda haikuwekewa vikwazo ilipopeleka watu kumuua Patric Karegeya huko South Africa?.joto la jiwe mm narudia yale yale maneno yangu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] haki za binaadamu na mahakama ua ICC iko kwa ajili ya africa na maadui zao na wanatumia kama kivuli cha kuficha uchafu wao duniani
Ufaransa ingekua ni africa na vikwazo vya kiuchumi ungeviskia na propaganda za kila aina lakini ndio kisu kimegusa mfupa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mbona Kenya polisi wanaua waandamanaji kwenye maandamano lakini hawawekewi vikwazo?. Mwaka Jana polisi wa Kenya walimpiga risasi na kumuua yule mwanahabiri wa Pakistan katika kizuizi Cha barabarani, tukio lenye kufanana na Kama hili la Ufarasa, mbona hakuna maandamano Wala mtu yeyote aliyesema kuhusu haki za binadamu?, lakini likitokea Ulaya ndio unataka haki za binadamu?, Mkuu upo biased na Chuki zisizokua na msingi dhidi ya nchi za Magharibi.
Wewe ni mfano mzuri wa waafrika wengi ambao badala ya kutazama matatizo ya ndani ya Afrika na kuyatafutia ufumbuzi, wamabaki kucheza "blame game" na kusingizia nchi za Ulaya kwa Kila tatizo la Africa.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app