Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20230628_110927.jpg
 
Ndio maana nikakwambia huna akili wewe na akili zenu mostly zinatoka takoni 😁😁
Mulileta paved road kenya mukatuambia ni 23000 je ilikua ni kweli na hapo ukumbuke tanzania ni mara mbili ya kenya kwa ukubwa

Umeumia sana hupendi kuona mageuzi kama haya😅😅😅

Hizo (km) hatukujenga ndani ya miaka 2🤣🤣🤣
 
Malalamiko Yako peleka NBS View attachment 2671425
dah yaani Kagera ya mwisho? Nshomile vp? hawawekezi vitega uchumi kwao? ChoiceVariable hatujakataa Mbeya imejaaliwa ardhi ya rutuba ila still hicho kipato kinatokana na kilimo na hakija-reflect kwenye hadhi ya Mbeya kuitwa Jiji! Hapa tunachojadili ni suala la mipango miji Wanyakyusa mnatia aibu na mnaharibu jiji lenu! Sasa endeleeni kubisha kama kawaida yenu! Kuna sehemu kama Moshi wana kipato kidogo namba 5 kwenye chati hapo juu ila hata ukienda vijijijni ambapo hakujapimwa unakuta kuna barabara za mitaa za vumbi. Serikali za vijiji zinapanga! Nyie mnashindwa wapi?
 
Sasa kama uwezo upo wakujenga shida iko wapi kigoma pekee ujenzi wa barabra unaedelea over 1000km na huo ni mkoa mmoja tu😅😅😅 kwenye swala la barabara hamutuwezi tulishawaambia mapema tu
Hebu tuonyeshe hizo 1000km ndani ya kigoma na pia tuonyeshe hizo 14,000km zilizojengwa ndani ya miaka miwili
 
Hebu tuonyeshe hizo 1000km ndani ya kigoma na pia tuonyeshe hizo 14,000km zilizojengwa ndani ya miaka miwili
Wewe nae ni mpuuzi mmja hivi,Barabara Zote kuu za Kigoma ziko under construction pande zote..

Kwa Sasa hapa Tanzania hakuna Mkoa hata mmja ambao hakuna miradi ya Barabara inajengwa both ya TanRoads na TARURA

Mwisho zingine hizi hapa kabla ya mwezi July kuisha wanaenda kutia Saini.
Screenshot_20230627-054822.jpg
Screenshot_20230627-054321.jpg
 
dah yaani Kagera ya mwisho? Nshomile vp? hawawekezi vitega uchumi kwao? ChoiceVariable hatujakataa Mbeya imejaaliwa ardhi ya rutuba ila still hicho kipato kinatokana na kilimo na hakija-reflect kwenye hadhi ya Mbeya kuitwa Jiji! Hapa tunachojadili ni suala la mipango miji Wanyakyusa mnatia aibu na mnaharibu jiji lenu! Sasa endeleeni kubisha kama kawaida yenu! Kuna sehemu kama Moshi wana kipato kidogo namba 5 kwenye chati hapo juu ila hata ukienda vijijijni ambapo hakujapimwa unakuta kuna barabara za mitaa za vumbi. Serikali za vijiji zinapanga! Nyie mnashindwa wapi?
Mapema mwaka ujao mwezi kama huu mtakuwa mnajaza picha za Barabara Kali za Mbeya kuanzia street roads Hadi Highways na taswira itabadilika kabisa.
 
Hivi ilikuwaje Mbeya ikafanywa jiji na sehemu kama Morogoro au Moshi pakaachwa? Kama hotels za kisasa Moshi na Morogoro wana hotel bora zaidi by far! Kama mipango miji, Moshi na Morogoro ni level ya juu ukilinganiaha na Mbeya.

Kama vyuo Morogoro na Moshi wana vyuo zaidi! Kama international schools Moshi na Morogoro wanazo, Mbeya hawana! Kama uwanja wa Ndege Morogoro wana Ngerengere pia na Moshi KIA!

Kama viwanda hata Moshi wanavyo pia vya bia, cha coca cola, vya cement, vya shairi, vya sukari vya ngozi n.k. Morogoro, cooking oil, leather, sukari, sabuni, katani n.n.k.

Sidhani kama Mbeya wana golf course kama Morogoro na Moshi! Mbeya haina hadhi kuwa jiji walipewa hadhi kisiasa zaidi!
Manispaa kupewa hadhi ya kua jiji kuna vigezo vinaangaliwa.
Baadhi ya vigezo ni....


Idadi ya watu
Uwezo wa manispaa kujiendesha kwa mapato inayokusanya
vyuo vya elimu ya juu
Hotels and conference facilities
Healthcare facilities
N.K

Kwa vigezo hivyo, Mbeya iliqualify zaidi kuliko moshi na Moro Ambazo wana idadi ndogo ya watu. Mfano,Songea ndio inaweza kuwa jiji Kabla ya moshi kwa kigezo cha watu ikiwa songea wakijenga vyuo vikuu 1 au viwili ambavyo viko katika maandalizi ya ujenzi.
International schools kila mahali ziko,hicho si kigezo. Mipango miji ni janga la taifa, hakuna mji ambao wamezingatia master plan za mji, kwahio hatuwezi izuia mbeya kua jiji kwa kigezo hiki.
 
Back
Top Bottom