Source include World bank and not world bank [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ndiyo sababu mtaendelea kufa kwa njaa miaka nenda rudi, na nikuhakikishie tu itafika wakati Kenya mtaitegemea Tz kwa kila kitu, kama mnavyoona kwa ss watanzania wameanza kuwekeza Kenya kwenye miradi mikubwa mfano gas (Rostam Aziz), media (Azam-Bakhressa), Oil (Lake Oil) etc. Hii inapaswa iwape alert kwamba Tanzania inakwenda kuitawala Kenya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kelele za cooked GDP hazitawasaidia inapaswa mjipange kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]