Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Didn’t you say the same thing about Mangufuli when we told you it’s over?… keep waiting for the white smoke…🤣🤣🤣
So what ulitaka asife as long ni binaadamu au?? Haya tusubiri hakuna shida mm nimecheka sana leo 😁😁😁😁😁 mungejua hvi vita vinavoendelea ukraine ndio mwisho wa europe na USA hata msingekaa mukaongea humu
 
IMG_8020.jpg


Mbingu na ardhi
 
Nakusikitikia kwakua huna akili, mbaya zaidi, hata akili za kutaka kujifunza pia hazipo.

Hata sijui nini unashangilia. Ungejua maana halisi ya kinachoendelea, ungesikitika sana.
😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆 Naona Warusi wa Namanyere mumeanza kutoka mapangoni 😁😁

Ndio kwanza kazi imeanza
 
Hivi unajua hata mapinduzi yanavyofanyika??

Hiki ni kikundi cha wanajeshi waasi chenye idadi ya askari 25 000. Unapinduaje nchi kwa mfano? hawa mamluki wamepewa hela kufanya huu uhuni ambao utapita soon.
Mtajua beberu Marekani ni Beberu kweli 😂😂😂🤣🤣🤣🤣😜😜😜😜

Kamata huyo mbwa Putin age kama Gadafi Nasikia kakimbilia Beralus
 
Back
Top Bottom