Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua ninakushangaa Sana, sijui unaishi Dunia gani mkuu, vyombo vyote vya Magharibi vinafuatilia na kutangaza hili tukio, wewe unasema wamenyamaza, unataka wafanye nini Ili ujue kwamba wanafuatilia?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hahahaha wao wanachokitaka ni kama wanachezewa akili zao tu 😅😅😅 ndio maana nilikwambia siasa za vita ni hatari bro acha kabisa kama wao walitoa pesa kuwapa wagner basi pesa zishaliwa tayari
 
I think kichwa yako ni Ngumu… now you are separating the loan from the overall cost just to avoid accepting you were wrong….do you understand English for real?...I wasn’t talking about the loan but the cost …So when you add the total cost of the project on the government end of year audit… the cost of land is not included in the cost of the project… ?…what kind of economic logic is that?
Punguza ujinga wako. Tunaposema gharama za SGR ya Kenya ni $3.7B, hiyo ni pesa iliyotoka China Exim Bank kugharimia Ujenzi wa reli toka Mombasa hadi Nairobi, hapo hakuna gharama ya kulipia fidia.

Unaposikia kwamba gharama ya kujenga barabara ya lami ni $1M per kilometer" hiyo haijumlishi fidia ya Ardhi.

Kenyà mlijenga 1km of SGR for $8M, Tanzania 1km for $4.6M, Ethiopia $6M, hizo hazijumlishi fidia ya Ardhi. Hiyo ni pesa anayopewa "Contractor &Consultant baada ya kukabidhiwa Ardhi na serikali. Hujui kitu wewe.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha wao wanachokitaka ni kama wanachezewa akili zao tu ndio maana nilikwambia siasa za vita ni hatari bro acha kabisa kama wao walitoa pesa kuwapa wagner basi pesa zishaliwa tayari
Nina uhakika baada ya hili, wewe utakua wa kwanza kusema kwamba Wagner ni mapandikizi wa nchi za Magharibi, japo Sasa unapinga kwamba hawawezi kufanya lolote.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
before and after
Western media 😅😅😅😅
20230624_221320.jpg
20230624_221323.jpg
 
Mkuu, hili jambo sio la kulidharau, ni jambo kubwa Sana kwa uongozi wa Putin, Yale Yale ya Sudan, ndiyo yanajitokeza Urusi.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kama mtu unaakili utajua kabisa huu ni chambo! Kuna mtu anatakiwa ajilengeshe tu aishe! Hiyo mutiny ya Wagner inawezekanaje wakati kila kitu wanategemea urisi au tuseme serikali ya urisi, risasi watapata wapi? Chakula watapata wapi? Hawana jeshi la anga!! Wako 25,000.

Hii ni chambo na kuna watu wataingia kichwa kichwa tu!! Nadhani mrusi sasa anataka kujua maadui wake wote wa ndani kwa ndani!!
 
That’s why I say you guys are illiterate… you only argue for the sake of arguing…. So you don’t think there is a correlation between military spending and a country’s defense capability?…. It’s hard to argue with a fool because they will drag you down to their foolish level, then beat you with experience….
Even Kenyan budget is bigger than its neighbours but there is no correlation that this budget reflects economic superiority over its neighbours but rather a big chunk of it almost 70% goes to loan servicing.
 
Kama mtu unaakili utajua kabisa huu ni chambo! Kuna mtu anatakiwa ajilengeshe tu aishe! Hiyo mutiny ya Wagner inawezekanaje wakati kila kitu wanategemea urisi au tuseme serikali ya urisi, risasi watapata wapi? Chakula watapata wapi? Hawana jeshi la anga!! Wako 25,000.

Hii ni chambo na kuna watu wataingia kichwa kichwa tu!! Nadhani mrusi sasa anataka kujua maadui wake wote wa ndani kwa ndani!!
Mm nilicheka sana nikamwambia hii ni vita ya siasa naona hakunielewa bado 😅😅😅
 
This the best opportunity for Ukraine to take advantage of the crisis and push forward to recapture lost territories…. Don’t be surprised Putin pull back some resources to Moscow to reinforce homeland…..his regime survival now takes priority …. Let the purge begin…am sure Putin will hit back hard domestically…he’s very vulnerable right now inside his political and military circle …
 
Back
Top Bottom