Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,917
- 103,788
Alikuwa anashika namba kama za Zele 🔥🔥
Wegner kamatieni hapo hapo
Kumbe walimchelewesha 😅😅😅 wakina nani walimchelewesha na kwasababu gani walimchelewesha hebu tujuze kidogoWamemchelewesha sana huyu kenge ,anacheza na Beberu 🔥🔥
Wamepewa hela na Wazungu?Hivi unajua hata mapinduzi yanavyofanyika??
Hiki ni kikundi cha wanajeshi waasi chenye idadi ya askari 25 000. Unapinduaje nchi kwa mfano? hawa mamluki wamepewa hela kufanya huu uhuni ambao utapita soon.


Ww tulia tu bro hutaskia tena wakipost wala haichukui muda mbona 😅😅😅😅Nilifikiri unatumia akili binafsi, kumbe ni vi Yutube mitandaoni vinakuendesha? mkuu, samahani, darasani ulikuwa unashika namba ngapi?
Mkuu, huna hadhi ya kujibishana na Mimi, endelea na shughuli zako.Nilifikiri unatumia akili binafsi, kumbe ni vi Yutube mitandaoni vinakuendesha? mkuu, samahani, darasani ulikuwa unashika namba ngapi?
Mbona hawakupewa pesa wakastopisha vita ukraine?? Mbona wamechapa ukraine nje ndani ?? Au mbinu za kivita ww huzijui 😅
Nilikuuliza mwanzo uko serious kweli??Mkuu, huna hadhi ya kujibishana na Mimi, endelea na shughuli zako.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nilikuuliza mwanzo uko serious kweli??
Mbinu za kivita unazijua kweli ww hushangai hata hao wazungu wenyewe wamekaa kimya hawashangilii kitu 😅😅😅😅
Unapofanya uhasi wa namna hii ni lazima uzingatie mambo makuu kadhaa ya muhimu kabla ya kufanya:
Wasiwasi wangu ni kwamba, kwasababu Kila kitu kawaida mnasingizia wazungu, ninajaribu kuweka angalizo mapema, msijekusema kwamba Wazungu ndio waliofanya mpango wa kuwagombanisha warusi wapigane wenyewe kwa wenyewe.Mbona hawakupewa pesa wakastopisha vita ukraine?? Mbona wamechapa ukraine nje ndani ?? Au mbinu za kivita ww huzijui![]()
Mbinu chafu za ulimwengu huu zinaanzia kwa wazungu hata ukikataa ndio ukweli huo vita vyote nchi za kiarabu wao ndio chanzo au unataka kubisha pia 😁😁😁 sio wao waliwakanyaga wajapan na nuclear alaf leo ndio wamewatia ujinga hawajitambui hao wajapan wenyewe au unataka hilo kukataaWasiwasi wangu ni kwamba, kwasababu Kila kitu kawaida mnasingizia wazungu, ninajaribu kuweka angalizo mapema, msijekusema kwamba Wazungu ndio waliofanya mpango wa kuwagombanisha warusi wapigane wenyewe kwa wenyewe.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ukweli huu hapa, achana na hizo twittesNilikuuliza mwanzo uko serious kweli??
Mbinu za kivita unazijua kweli ww hushangai hata hao wazungu wenyewe wamekaa kimya hawashangilii kitu
Hii ni siasa ya vita inataka mtu mwenye akili kubwa kujua haya 😅😅😅😅Marekani aongeze dau tuu Hadi wafike Moscow 😁😁
Hahaha, mawazo ya kushindwa na kukata tamaa hayo, hakuna mtu anaweza kukusaidia, endelea kufuatilia mambo yalivyoMbinu chafu za ulimwengu huu zinaanzia kwa wazungu hata ukikataa ndio ukweli huo vita vyote nchi za kiarabu wao ndio chanzo au unataka kubisha piasio wao waliwakanyaga wajapan na nuclear alaf leo ndio wamewatia ujinga hawajitambui hao wajapan wenyewe au unataka hilo kukataa
Mm hua nawaambia siku zote adui wa amani duniani ni mzungu ni mtu mbaya kuliko shetani munaomuonea nyinyi![]()
Hahaha, mawazo ya kushindwa na kukata tamaa hayo, hakuna mtu anaweza kukusaidia, endelea kufuatilia mambo yalivyo
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kama walitoa pesa basi zimeliwa tayar ogopa sana siasa za vita 😅😅😅😅Marekani aongeze dau tuu Hadi wafike Moscow 😁😁