Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar haina lami kwenye estates na makaazi labda udanganye wasioijua dar. 80% ya dar ni uswazi na lami zinahesabika.. Nairobi hadi kibera ina pavements

Acha uwongo…pale tu Westlands kwenye junction ya kuingia Westgate Mall kuna stendi ya vidaladala vipanya ni ya vumbi….Nairobi imejaa stendi za daladala za vumbi kila kona kitu ambacho Dar hakuna stendi za minivans yenye vumbi pia hizo matatu zao ni mbayaaa kama umetoka TZ huwezipanda maana unaweza pata tetenus humo ndani ni kama zile chai maharage za miaka ya 90 zilizokuepo TZ na majority ya daladala za Nairobi ni vipanya ambavyo Dar tuliacha kutumia miaka zaidi ya kumi iliyopita…Nairobi imejaa vumbi wajameni…nimetoka huko juzi
 
Mambo imechemka,🤣🤣🤣
IMG_20230619_130810.jpg
IMG_20230619_130346.jpg
IMG_20230619_130243.jpg
IMG_20230619_130245.jpg
 
sawa sawa! nchi hii tunabishana kwa hoja! kila mtu anatoa na kuongea kwa uhuru mtandaoni. siasa za kuiga hautaki hapa! washugulikiwe vizuri!
Serikali na Bunge wamesema milango Iko wazi watu waendee kutoa maoni mahala kwenye shida marekebisho yatafanyika uzuri mikataba ya utekelezwaji Bado Sasa vurugu za nini mtaani?

Watiwe adabu Hawa Chadema
 
Acha uwongo…pale tu Westlands kwenye junction ya kuingia Westgate Mall kuna stendi ya vidaladala vipanya ni ya vumbi….Nairobi imejaa stendi za daladala za vumbi kila kona kitu ambacho Dar hakuna stendi za minivans yenye vumbi pia hizo matatu zao ni mbayaaa kama umetoka TZ huwezipanda maana unaweza pata tetenus humo ndani ni kama zile chai maharage za miaka ya 90 zilizokuepo TZ na majority ya daladala za Nairobi ni vipanya ambavyo Tanzania tuliacha kutumia miaka zaidi ya kumi iliyopita…Nairobi imejaa vumbi wajameni…nimetoka huko juzi
Wao wenyewe wanajua na ndiyo maana 90% ya picha zao ni lazima wa edit kabla ya kupost, hakuna picha ya ka Nairobi imewekwa humu bila make up
 
Show me where Tanzania Military Academy offers advanced training in Air Force capabilities…..am waiting……tik toc ….🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom