Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kilimani
FB_IMG_16869864448692947.jpg
FB_IMG_16869864412139147.jpg
FB_IMG_16869864359643767.jpg
 
Hapa najua itajengwa barabara ya kiwango cha hali ya juu sana...Wakazi wa Nyanda za juu kusini sasa nao watatamba ,wasisahau kufunga taa tu unyama uwe mwingi

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
ile watu wa huku nao waamke Mbeya needs serious investments! si mambo ya kujenga vibanda sehemu hakujapimwa! Yaani mji/Mkoa una kila kitu TAZARA, barabara bomba, songwe Airport na mpaka bandari lake Nyasa ila hupati 4 star hotel facility! wanyakyusa waache majigambo washushe vitu vya maana!
 
ile watu wa huku nao waamke Mbeya needs serious investments! si mambo ya kujenga vibanda sehemu hakujapimwa! Yaani mji/Mkoa una kila kitu TAZARA, barabara bomba, songwe Airport na mpaka bandari lake Nyasa ila hupati 4 star hotel facility! wanyakyusa waache majigambo washushe vitu vya maana!
Alooh icho kipengele kinahitaji motisha haswa...

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom