game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,053
- 26,331
Ila Sasa sijakuelewa Waziri anasema njia Moja itakuwa maalumu Kwa Malori na nyingine Kwa magari ya Kawaida mpaka hapo kutakuwa na driving ya opposite lane kama ilivyo Sasa,huu ni upuuzi..
Bora mchanganyikane ila mna drive kwenye dual carriage sio kwenye single carriage
Huyu waziri nae ana uchizi sasa , kama ni njia nne ziwe nne, One way, problem solved once for all.