Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Woow... this woman
Screenshot_20230609-231317~2.jpg
 
Mkuu mbona sikuelewi?, nahisi Kama unalalamika Sana bila sababu za msingi. Sababu za kuvunja mkataba zimeelezwa wazi kwamba hilo kampuni lilishindwa kutekeleza kipengele Cha kumaliza kazi kwa wakati, Sasa hapo Kuna shida gani?.

Kuhusu hayo mabehewa yaliyoletwa, ulitaka yaweje mkuu?, Kwa hiyo bei ya $26M kwa mabehewa 30 ya ghorofa na vichwa viwili ni bei nzuri sanaaa, hakuna haja ya Kulalamika

1)Kila behewa linabeba watu 140, hii ni mara mbili ya hizi behewa mpya tunazotengeneza toka Korea

2)Wastani wa Kila behewa Moja la ghorofa lenye kubeba watu 140 ni $630K, wakati wastani wa gharama za behewa Moja toka Korea lenye kubeba watu 75 ni $850K. Ukipiga hesabu kwa idadi ya abiria, hii Ina maana kwamba behewa Moja la ghorofa gharama yake ni $315K vs $850K behewa za Korea.

Mkuu, kukosekana kwa TV na sehemu za kuchaji simu, ni mambo madogo Sana ukilinganisha na bei tuliyonunulia.
Nimesoma robo tu ya ulichoandika, wewe hujasoma bei ya kukarabati "the contract worth 26.6 million Euros." ~ The Citizen.co.tz"

Bei ya manunuzi, unaweza tupa na chanzo chake? Wewe unafikiri mkataba unavunjwa tu kwakua muda umepita? Bwawa la Nyerere, SGR wameenda na muda hao?

Tumia akili.
 
On a positive note I will admit the next great world superstar after Messi could be the 17 year old Kigoma born Aussie… Poor Bongo… how could you let this boy change citizenship?…. Have you seen his skills lately?…watch out Euro Leagues!
956B87A0-3765-4D5E-BF50-2F57355369FD.jpeg
 
Hayo matakataka yenu huku hatufuatilii.
You are entitled to your own opinion but not your own facts… I bet Faith Kipyegon or Eliud Kipchoge’s is well known in Bongo than any of your Footballers who are unknown in Kenya…even your President knows Kipchoge but ours can’t mention any sports person from Bongo… put respect on it!
 
Back
Top Bottom