chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,308
- 45,107
Magufuli alifanya hivi akaambiwa ni mwizi wa forex exchange 😂😂😂
Now back to the drawing board
View attachment 2643077
🤣🤣 safi sanaMambo ndio kama haya kaka 😂😂😂😂 mradi wa trillion 1.5 huu
View attachment 2643056View attachment 2643057View attachment 2643058
You’re delusional. What are “African values?”
There’s no such thing as “African morals.”African Morals means NO Homosexuality.
Hiyo maadhimisho ni ya ghafla au vipi uwanja upo hovyo, hata kumwagilia maji hakuna aibu yenu
Unataka kusemaje mkuuThere’s no such thing as “African morals.”
Moja ya tamaduni ya Eswatini ni ceremony ambayo wanawake wana-dance wakiwa nusu uchi ( matiti yakiwa wazi) kugombania courtship ya mfalme. Hii tamaduni ni ya Eswatini lakini si tamaduni ya Afrika. Nchi nyingine Afrika hazifanyi hivi. Kwa hiyo ni upuuzi kusema kuwa kuna “African morals” Au “African values.” Besides, kuna nchi kadhaa Afrika zinazolinda haki za mashoga. Wao si Waafrika? Au wao hawafahamu chochote kuhusu morality? Usijaribu kusema chuki ni morals. Wewe ni mpumbavu.
Kila nchi ina tamaduni zake. Hakuna “African traditions” wala “African values.”Unataka kusemaje mkuu
Owwk...nilijua unateteaKila nchi ina tamaduni zake. Hakuna “African traditions” wala “African values.”
.Mkuu, umetiririka vizuri Sana, ila hapo mwishoni hukumalizia kiuungwana.There’s no such thing as “African morals.”
Moja ya tamaduni ya Eswatini ni ceremony ambayo wanawake wana-dance wakiwa nusu uchi ( matiti yakiwa wazi) kugombania courtship ya mfalme. Hii tamaduni ni ya Eswatini lakini si tamaduni ya Afrika. Nchi nyingine Afrika hazifanyi hivi. Kwa hiyo ni upuuzi kusema kuwa kuna “African morals” Au “African values.” Besides, kuna nchi kadhaa Afrika zinazolinda haki za mashoga. Wao si Waafrika? Au wao hawafahamu chochote kuhusu morality? Usijaribu kusema chuki ni morals. Wewe ni mpumbavu.
What about "adultery", is this part of African morals?, Why not criminalise it?.African Morals means NO Homosexuality.





Kumwambia mtu kuwa ni Mpumbavu ni uungwana pia. I prefer honesty, especially when calling out bigots.Mkuu, umetiririka vizuri Sana, ila hapo mwishoni hukumalizia kiuungwana.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwani mkuu wewe ni shoga?There’s no such thing as “African morals.”
Moja ya tamaduni ya Eswatini ni ceremony ambayo wanawake wana-dance wakiwa nusu uchi ( matiti yakiwa wazi) kugombania courtship ya mfalme. Hii tamaduni ni ya Eswatini lakini si tamaduni ya Afrika. Nchi nyingine Afrika hazifanyi hivi. Kwa hiyo ni upuuzi kusema kuwa kuna “African morals” Au “African values.” Besides, kuna nchi kadhaa Afrika zinazolinda haki za mashoga. Wao si Waafrika? Au wao hawafahamu chochote kuhusu morality? Usijaribu kusema chuki ni morals. Wewe ni mpumbavu.