The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Hata mm nmecheka sanaBuda tz inafear kenya?????
Your very fun![]()







Hata mm nmecheka sanaBuda tz inafear kenya?????
Your very fun![]()







Mpanda -Tabora Trunk Road,kitu piruu Cha super pave,no potholesRoads in Kenya
View attachment 2642784
At first I thought ni soko but up close nikagundua kumbe ni football stadium

eturbonews.com
Hahaha ila ukweli tuseme kutembea Pamoja na hii mitandao imevunja mipaka sana, Kunyaland ulikua ukiisikia enzi hizo inavyosifiwa na wenyewe wanavyojisifia unaweza dhani ni nchi moja ipo Africa kimakosa, aisee acheni nyie hata Rwanda haijafikia bado PR ya shakahola enzi hizo 😂😂😂 ila kwa ground sasaYani hawa walivojitenga na africa kipindi africa inatafuta uhuru mpaka leo hii 2023 walitakiwa wawe sawa na nchi kama qatar au malaysia 😅😅😅 lakini vile MUNGU mkubwa zimbabwe wana nafuu kuliko wao yote walijawa na roho mbaya iliojaa tamaa bila kujali utu na kuwajali waafrica wengine
Atawaachia nondo 😂😂😂😂 sababu mpaka saivi ni kama umeshatimiza hiyo miaka 30 😂😂Kwani ww hushangai mchina ataumiliki huo mradi kwa miaka 30 ww hujashtuka tu😅😅 na unafkiri miaka 30 ukiisha huo mradi utakua kwenye hali gani??
Na nguvu ya kulalamika tena mitandaoni tu ndio wanayo hawana ubavu wa kuwawajibisha kwenye katiba yao ya kiduanzi wanaojisifiaga na hapa pia liwe somo kwamba katiba sio chochoteKinachoshangaza ni kwamba hawachukui hatua zaidi ya kulalamika tu mitandaoni, haya majitu ni majinga sana.
Ni mipesa mingi sana tumegharamia kwenye hizi harakati tena kipindi uchumi wa hivi vinchi vingine vikiwa hovyo taabani, laiti tungeenda na Ile pace mbona tungesumbua, ila pamoja na hivyo bado Ile institutionalization Tanzania tulionayo kwenye serikali ni top notch kwa AfricaHawajui historia hawa watu, Tz ni lidude fulani likuubwaaa tangu kitambo.
Kutoka hapa Kabwe Port/Rukwa ni km 24 tuu kufika Moba Port /DRC
Nilichanja mbuga na Boti hiyo ya Kienyeji ya Serikali.
Ziwa Tanganyika halina Meli inayofanya kazi View attachment 2642861View attachment 2642862View attachment 2642863View attachment 2642864
Serikali ongezeni uwekezaji kwenye maeneo haya Yana fursa nyingi sana za biashara.