Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Langata Nairobi
Screenshot_2023-05-27-18-14-17-50_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-05-27-18-14-49-61_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
 
Mkuu nahitaji maoni yako katika hili.
Unafikiri suala la:
1. Sarafu moja.
2. Uongozi mmoja wa kisiasa EAC(federation)

Nikimaanisha sote Afrika Mashariki tukubali kuachia sovereignty zetu na kuwa nchi mmoja kuongozwa na raisi mmoja.
Linawezekana kwa jinsi tunavyokwenda ndani ya miaka hii 15 ijayo?
Kwenye maisha, as a Ninja, sio kila rafiki yako ni rafiki wa uhakika (genuine friend), hivyo sio sahihi kujitoa KIVILEEE. Nyerere alifanya makosa makubwa sana kwenye Jumuiya ya kwanza ya Africa mashariki kwa kuwaamini hawa hayawani wakuitwa "Wakenya".

Hizo KQ unaziona ni ndege zetu pia, treni, na mambo mengi mno kwa msaada wa Wamarekani na Uingereza waliibia jumuiya. Hao waacha wafe njaa.
 
Double standard na wanaharakati uchwara hawasemi, kipi bora kati ya Magu aliekua akiwasaidia watu wa chini huko barabarani (walimkosoa mno) au huyu anaetoa kila siku mabilioni kwa watu wenye pesa ndefu tayari!
Changamoto sana kaka. Si hizo fedha hata wangeunda taasisi ya kusaidia watu hapa nchini hasa wale wenye hali ngumu kuna Watanzania wengi wanakabiliwa mengi kuanzia kwenye afya, makazi yaaani duuh!!
 
Hehehee, kumbe wameshindwa kununua hizi nyumba wanashinda wakishare humu. Private sector is dead in this country.


 
Back
Top Bottom