ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,248
Kigamboni
Embu share hizo ulizoziona wewe maana sijaona current ones.Jamani mwenye picha zaidi za extended canopy naomba tafadhali tuzidi kuwarusha roho hawa washakahola![]()
I don’t think you have truly grasped this issue…. Do more research and you will learn, just like you learned about intersex and chromosomes….Knowledge is power and Science is great!…Semenya is an intersex (born like that). She didn't do any hormone therapy to increase her testosterone level like some of these freaks do.
We jamaa wa yues 🤣🤣I don’t think you have truly grasped this issue…. Do more research and you will learn, just like you learned about intersex and chromosomes….Knowledge is power and Science is great!…
BRT gani iyo aina sehemu yake si uite matatu tu apo alafu ya umeme uku yapo sana adi private car kuna za umeme na gas adi solar sa sijui apo upya wa kututisha upo wapi... alafi AINA sifa ya kuitwa BRT iteni matatu... in tz kuna bus adi za gas zinakuja aseee toa uchafu umu 😁 😁 🤣 🙄😡
Kwani unaumia ukiwa wapi😁👆Haha hiii ni Ile library ya donation mnajivunia kutoka china?
Teargas na wenzake waje apa watufafanulie iyo canopy 😁 🙄Tunaiita extended canopy![]()
Waingereza walitawala Dunia nzima, iweje huko kote hawapigani bali ni Afrika tu na vijinchi vingine vilivyoshikilia Imani za dini na ukabila ndio vinaendekeza mapigano?.Viongozi wanaojitambua wapo, Magufuli ni mmoja ya viongozi waliojitambua ila ndo hivyo hakukaa.
Kenya sumu ya ukabila ilishawekwa na waingereza toka kipindi cha ukoloni na kwa bahati mbaya wamekosa kiongozi mwenye akili kulitambua hilo.
Waingereza ni mabigwa wa kugawa watu, siyo Afrika tuu, walifanya hivyo bara hindi kwa kugawa India na Pakistan, mpaka leo hawapatani. Akitokea kiongozi mwenye akili wa kutaka kuleta amani kama Imran Khan (Pakistan), wanamuondoa.
Njooni muone canopy yetu……😂😂😂
Northern corridor Intergration Projects(NCIPC), hii maana yake nini, wanataka ku- integrate na nani?Huu mkutano ndo umeanza jana hadi kesho
Hivi mkuu, zile ndege zetu 3 zilizokua na matatizo ya engine, zilishapona?Jamani mwenye picha zaidi za extended canopy naomba tafadhali tuzidi kuwarusha roho hawa washakahola![]()
Umeongelea kitu tofauti na nilichokisema, hapa si suala la kutukuza wazungu bali kuelewa jinsi wanavyo operate na kuja na solution.Waingereza walitawala Dunia nzima, iweje huko kote hawapigani bali ni Afrika tu na vijinchi vingine vilivyoshikilia Imani za dini na ukabila ndio vinaendekeza mapigano?.
Kwahiyo Kenya kabla ya kuja waingereza walikua wanakaa kwa amani hawapigani?. Nchi za Afrika kwa ujumla kabla ya kuja wazungu tulikua tunakaa kwa amani hatupigani?.
Mkuu, tatizo letu sisi waafrika tunawaogopa na kuwatukuza Sana wazungu, yaani hata kujisaidia haruwezi tunawasubiri wazungu kwa Kila kitu.
Ni aibu kuona wanyarwanda wanachinjana kwa miezi mitatu wakati majirani tupo na tulikua na uwezo wa kuingilia kusimamisha Yale mauaji, lakini tulikaa kimya baadae tunalaumu USA kwa kutoingilia kati.
Mkuu, wazungu hawana uwezo huo unapowapa wewe, matatizo mengi ya Afrika, hasa hii migogoro mingi inatokana na sisi wenyewe, na tunaweza kuisimamisha sisi wenyewe, Kama alivyofanya Nyerere alipoingilia na kusuluisha Burundi.
Mkuu, tuachane na hii "mental slavery" ya kuwatumia wazungu Kama ndio kisingizio Cha upuuzi wetu wenyewe sisi waafrika.
Wewe unaona upuuzi anaofanya Odinga hapo Kenya, uchaguzi umekwisha, ameshindwa mahakamani, lakini kwa kutumia ukubwa wa wafuasi alionao hataki kufuata Sheria anakazimisha Sheria ndio imfuate yeye, Kenya wakipigana bado tutasingizia wazungu, hivi tunashida gani sisi waafrika?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Bado mkuu, zile ndege ni mpya kwenye industry, tatizo ni Airbus wenyewe bado hawajaweka sokoni vipuri vinavyohitajika.Hivi mkuu, zile ndege zetu 3 zilizokua na matatizo ya engine, zilishapona?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unataka nifanye uchunguzi gani?I don’t think you have truly grasped this issue…. Do more research and you will learn, just like you learned about intersex and chromosomes….Knowledge is power and Science is great!…
Mbna maneno mengi kujieleza kuwa wewe mshindi?Kwa sasa naona hata kuingia humu unaona uvivu kwa jinsi tunavyowapiga gape kwenye kila kitu![]()
