Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Serikali yetu ifanye ushawishi Kwa DRC Ili pesa ya reli na Barabara hii ya kutokea Kalemie plus Bandari zijengwe tupate njia nyingine ya kufika Lubumbashi.
Screenshot_20230523-215151_1.jpg


Til.8 ni pesa nyingi unapata Barabara,ports/air ports na Sgr
 
Vita vingi hapa Africa ni migogoro ya ukabila, na siku hizi dini hasa dini ya kiislam, lakini chini yake wanataka madaraka na Mali. Enzi za "Cold war" ndio kulikua na "influencers", na lengo lao kuu halikua Mali, bali ni "Geopolitical influence".
Meddling bado ipo sana.
Mkuu, toa ushahidi wa hii point yake.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unataka ushahidi wa kuingilia mambo ya nchi za Afrika? Hivi mara hii umesahau kelele za kupinga kujenga kwa bwawa la Nyerere?
 
The only values my kids know is Love God with all your heart and treat everyone the way you would like them to treat you. Do not judge anyone on the basis of race, color, financial situation, religion, gender or sexual orientation….. the rest ni vitendawili tu… After that is about chasing their American dream…. ( with a Kenyan twist to it)….
You can instill values to them but in the end the choice is theirs and is greatly dictated by the environment that they are living in.
 
Sasa mbona baada ya kumuondoa Said Barre vita vinaendelea?. Mkuu mbona hueleweki?, mara useme lengo ni kumiliki Mali za waafrika, mara njia za kupitisha meli, mara kwasababu Siade Bare alikua anafuata sera za ujamaa, Sasa tukueleweje?.
Vita vinaendelea kwasababu kiongozi aliyeweza kuimudu nchi aliondolewa kabla ya kujenga mifumo ya umoja. Mambo hayo hayo ya destabilizing maeneo yenye mali yamejirudia tena Iraq na Libya. Syria ilibahatika tuu Assad hakupinduliwa.
Haya tuambie kundi la ADF la Uganda nalo linafadhiliwa na nchi gani?. Rwanda walichinjana 1994, lengo la mataifa makubwa ni kupata nini Rwanda?, Burundi hadi Leo bado hali ni tete, Kule nako wanatafuta nini?, Bukinafaso, Chad, Mali na Cameroon, huko nako wanatafuta nini?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nchi zote hizo ukiangalia unakuta aidha zina madini/mafuta au jirani wana hizo mali. Rwanda kwa mfano haina madini lakini mashariki ya DRC kuna madini. Tofauti za kiasili zinatumika kama chachu ku destabilize eneo husika (the infamous divide and rule principle)
 
Vita vinaendelea kwasababu kiongozi aliyeweza kuimudu nchi aliondolewa kabla ya kujenga mifumo ya umoja. Mambo hayo hayo ya destabilizing maeneo yenye mali yamejirudia tena Iraq na Libya. Syria ilibahatika tuu Assad hakupinduliwa.

Nchi zote hizo ukiangalia unakuta aidha zina madini/mafuta au jirani wana hizo mali. Rwanda kwa mfano haina madini lakini mashariki ya DRC kuna madini. Tofauti za kiasili zinatumika kama chachu ku destabilize eneo husika (the infamous divide and rule principle)
Aiseee, kwahiyo sisi waafrika tupo "helpess" kabisa, hatuna uwezo wowote wa kujiamulia lolote tunalotaka, yaani wazungu wanatugeuza vile watakavyo?.

Mkuu, tunahitaki kujikomboa kifikra, hili ni tatizo kubwa Sana tulilonalo. Kwahiyo hata hapo Kenya Kila uchaguzi wanachinjana, tuwalaumu wazungu?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom