Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar
dalalifungakazi_1683541040409805.jpg
dalalifungakazi_1683541040409362.jpg
dalalifungakazi_1683541040409283.jpg
 
Population ndio maendeleo.? 🤣 U crazy.. ukubwa wa population ndio ukubwa wa eneo.? 🤣🤣 Chizi kweli wewe..
Sasa Tanga Ina maendelea yapi Sasa ya kuzidi Mbeya? Mbona unataka turudi kinyume nyume wakati kila kitu umeshindwa kwenye battle?
 
Sasa Tanga Ina maendelea yapi Sasa ya kuzidi Mbeya? Mbona unataka turudi kinyume nyume wakati kila kitu umeshindwa kwenye battle?
Umeshinda nini kwenye battle Bro.? 🤣🤣 Unplanned settlements all around your village center.? Less industries.? Lack of paved roads.? Au kampuni za Mabasi za wenyewe.? 🤣🤣
 
Umeshinda nini kwenye battle Bro.? 🤣🤣 Unplanned settlements all around your village center.? Less industries.? Lack of paved roads.? Au kampuni za Mabasi za wenyewe.? 🤣🤣
Tulianza na mabasi mengi na Makali ukakimbia,
GDP hujagusa
Mapato ndio kabisaa Mapato ya Wilaya ya Chunya ya Madini yamezidi Bandari ya Tanga,
Mandhari uliishia kusikojulikana,
Vyuo Vikuu na vya kati nilikutandika knock out
Barabara Kali Tanga ni kama hakuna
Viwanda nilikwambia leta idadi ya Viwanda jumla ukaishia kuonesha viwanda vya Saruji na smart card basi
Tanga hakuna Airport na sijui hata kama mtakuja kupata
Projects on pipeline,uliishia kuleta Bomba la mafuta huko Mbeya ilishatoka zamani sana 😁😁
Kwenye potential ndio kabisaa Tanga inategemea Bandari basi wakati Mbeya ni kila kitu unapata..

Mwisho nakupa taarifa mbaya kwamba Sasa kutakuwa na maonesha ya Kimataifa ya Kilimo (Name Nane) na uwanja wa J Mwakangale na Nanenane Dodoma ndio vimecuaguliwa,tegemea maonesho kama sabasaba broo na Mwaka huu Kitaifa ni Mbeya tena.
 
🤣🤣🤣🤣 We ni Chizi wa wapi hii ipo ndani ya Mbeya City, au unataka na mimi nikuletee picha za border ya Tz-Kenya kwa Upande wa Tanga Horohoro.?
Unajitahidi sana kuhamisha magoli 😁😁.
Tanga sio size ya Mbeya utaumia Bure ,soma hizo mbao hapo chini 👇
IMG_20221016_062520_017.jpg
IMG_20221016_085945_937.jpg
 
Tulianza na mabasi mengi na Makali ukakimbia,
GDP hujagusa
Mapato ndio kabisaa Mapato ya Wilaya ya Chunya ya Madini yamezidi Bandari ya Tanga,
Mandhari uliishia kusikojulikana,
Vyuo Vikuu na vya kati nilikutandika knock out
Barabara Kali Tanga ni kama hakuna
Viwanda nilikwambia leta idadi ya Viwanda jumla ukaishia kuonesha viwanda vya Saruji na smart card basi
Tanga hakuna Airport na sijui hata kama mtakuja kupata
Projects on pipeline,uliishia kuleta Bomba la mafuta huko Mbeya ilishatoka zamani sana 😁😁
Kwenye potential ndio kabisaa Tanga inategemea Bandari basi wakati Mbeya ni kila kitu unapata..

Mwisho nakupa taarifa mbaya kwamba Sasa kutakuwa na maonesha ya Kimataifa ya Kilimo (Name Nane) na uwanja wa J Mwakangale na Nanenane Dodoma ndio vimecuaguliwa,tegemea maonesho kama sabasaba broo na Mwaka huu Kitaifa ni Mbeya tena.
Wacha kulinganisha mapori na miji iliyoendelea Bro...

Kampuni ulizataja za mabasi zenye asili ya mbeya hazifiki tano 🤣🤣 while mimi nimekutajia kampuni 17 zote zinamilikiwa na wakazi wa tanga .. hujiskii vibaya.?

Kuhusu projects kubwa za maana zenye tija kubwa kwa taifa kando ya kilimo Mbeya ni nothing compared to Tanga.. kuhusu miundombinu ndio wala usiseme kitu mana hapo utakula za uso sio majengo sio barabara, ..

Ona nakupea hii assignment uniletee at least 100 meter road enye ni dual huku kijijini kwenu 🤣🤣🤣
 
Wacha kulinganisha mapori na miji iliyoendelea Bro...

Kampuni ulizataja za mabasi zenye asili ya mbeya hazifiki tano 🤣🤣 while mimi nimekutajia kampuni 17 zote zinamilikiwa na wakazi wa tanga .. hujiskii vibaya.?

Kuhusu projects kubwa za maana zenye tija kubwa kwa taifa kando ya kilimo Mbeya ni nothing compared to Tanga.. kuhusu miundombinu ndio wala usiseme kitu mana hapo utakula za uso sio majengo sio barabara, ..

Ona nakupea hii assignment uniletee at least 100 meter road enye ni dual huku kijijini kwenu 🤣🤣🤣
Kujifariji ruksa,Projects za Tanga ni zipi? Mbona huzitaji? 😁😁

Mbeya Kuna megaw 200 za umeme,Kuna kiwanda Cha Rare earth elements,kutakuwa na kiwanda Cha Neobium pale Songwe gerezani ,Tanga kutakuwa na nini?
 
Kujifariji ruksa,Projects za Tanga ni zipi? Mbona huzitaji? 😁😁

Mbeya Kuna megaw 200 za umeme,Kuna kiwanda Cha Rare earth elements,kutakuwa na kiwanda Cha Neobium pale Songwe gerezani ,Tanga kutakuwa na nini?
Wewe ni mlevi bila shaka.. Tanga iko na viwanda vinne vikubwa vya Cement .. bomba la mafuta kutoka UG ambapo Tz itapata 40% ya faida ya bomba hilo plus Tanga iko n bandari ambayo Ina handle 1 million tonnes annually 👇
tpa_tz-20221216-0012.jpg
.. nitakupiga na hizi facts hadi lini mzee.?
 
Back
Top Bottom