Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tz wakati huu kwenye ujenzi wa barabara hakuna ubabaisha MWAMBA MAGU kipindi chake aliwafungua akili viongozi wa leo sasa ni lazima wavae viatu vyake ingawa bado haviwatoshi
kuna ma haters wa magu watakuja nipinga lakini ukweli lazima usemwe ......
before magu barabara zilikuwa zikimalizika kujengwa tu ndani ya wweek mbili mvua ikinyesha tuu yaani ni vurugu tupu mashimo kila kona kama zile barabara za kenya alfu zinakuwa zimepaukaaa na lea yake ni nyembamba kama kiwembe au kama za wakunya au wakundustani
Toa ujinga wako hapa
 
Draw itakayotoka Simba ni sawa na hii ambayo wenzie waliipata 😁😁😁

1667502448617.jpg
Sometimes jiongezeni, tumieni akili..
hizo timu zote walizocheza vs Wydad haziko level moja na Simba, hao ni level ya Yanga.. Simba wenyew wanauwezo wakuwatoa hao wote..
Wydad na Simba level iko sawa.. wakifungwa sana ni difference ya goal moja
 
View attachment 2597322Sometimes jiongezeni, tumieni akili..
hizo timu zote walizocheza vs Wydad haziko level moja na Simba, hao ni level ya Yanga.. Simba wenyew wanauwezo wakuwatoa hao wote..
Wydad na Simba level iko sawa.. wakifungwa sana ni difference ya goal moja
Fala sana wewe hiyo Wala haitamsaidia kuepuka kichapo Cha 5 😁😁😁😁
 
sawa nyumbu wa kutoka lamu port imayosafirisha ngamia na mbuzi
mi nipo kitambo toka 2017 sema MODS wakiamua kufanya yao wanakugonga life ban .....
Unamaanisha umekuwa kilaza tangu 2017? Huo ni muda mrefu sana! Hivi, wewe ni katibu ama mwenyekiti wa vilaza wa bongo humu?
 
Kuna jipya gani hapo maana viwanda vya Wachina ni vile vile sana sana hapo wanafanya expansion tuu
Kizungu ni mtihani kwako mzee 🤣🤣 kuna kiwanda kipya kinajengwa kwa jina la Hengya Cement. Kwahvyo itaifanya Tanga kuwa na viwanda vya cement vinne kutoka vitatu vilivyopo

1.Tanga cement
2.Kilimanjaro cement
3.Huaxin Cement yani hiki apa linaonekana kwa mbaali 👇
mqdefault(3).jpg

4.Hengya cement (hiki ndio kipya U/C) .. pitia hapa 👇"Hengya Cement (Tanzania) Co., _Hengyuan International Engineering Group Co., Ltd." Hengya Cement (Tanzania) Co., _Hengyuan International Engineering Group Co., Ltd..

🤣🤣 Tanga ni balaa mjomba .. viwanda vinne vikubwa vya Cement ain't a joke
 
Kizungu ni mtihani kwako mzee 🤣🤣 kuna kiwanda kipya kinajengwa kwa jina la Hengya Cement. Kwahvyo itaifanya Tanga kuwa na viwanda vya cement vinne kutoka vitatu vilivyopo

1.Tanga cement
2.Kilimanjaro cement
3.Huaxin Cement yani hiki apa linaonekana kwa mbaali 👇View attachment 2597403
4.Hengya cement (hiki ndio kipya U/C) .. pitia hapa 👇"Hengya Cement (Tanzania) Co., _Hengyuan International Engineering Group Co., Ltd." Hengya Cement (Tanzania) Co., _Hengyuan International Engineering Group Co., Ltd..

🤣🤣 Tanga ni balaa mjomba .. viwanda vinne vikubwa vya Cement ain't a joke
Hii sio mitungi ya mkojo Bali ya kinywaji pendwa 😁😁

TBL Mbeya Breweries
Screenshot_20210906-201420.png
 
Kweli wewe ni kichaa unapost bia mbele ya investment ya $500+ million.? 🤣🤣 Kiwanda cement.?

Hold on hii facility hii ya TBL ni U/C pia.? 🤣🤣 Au ni kuchanganyikiwa.?
Unadhani kiwanda Cha bia Cha Mbeya kinalingana na Kiwanda gani Tanzania? Unadhani investment yake ni sawa na hako kadaraja unakonpost renders Kila siku?

Mbeya City on the rise
IMG_20221016_065511_854.jpg
IMG_20221015_183116_251.jpg
IMG_20211222_115950_349.jpg
IMG_20221015_185423_504.jpg
20230418_125340.jpg
20230418_125346.jpg
 
Back
Top Bottom