Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Back to the business. ChoiceVariable Tanga kuna kampuni kubwa mbili za chai 👇

11. Chai Amani 👇
Amani-tea-launch-aug-2022.png


12. East Usambara tea company LTD 👇"AgriProFocus" AgriProFocus.

Heb na wewe post vitu vya maana kama hiv bas
 
JKIA should install birds radar n other birds protection systems!
Birds strike is not a common phenomenal at JKIA. That was a secluded case. Ingekuwa ni tatizo la kila siku hapo ungekuwa na point. Otherwise, it's hot air!
 
Hebu umwambie hata Tanganyika imetokana na Tanga Nyika yaani huku kote ni nyika za Tanga.
Huyo jamaa hajui kitu. Lakini anajitutumua, hawa wanafaa sana kuwatanguliza mbele kwenye vita. Yupo vizuri anasimamia anachokiamini
Mchizi haijui Tz anaforce vitu 🤣🤣🤣 ndio mana jamaa wanasema sio mbongo .. Mbeya haifikii Tanga kivyovyote, hata akitaka battle ya wanawake wazuri pia nitamkalisha..
 
Mbeya ni sehemu ya mashamba tu. Hata hivyo hata Tanga kilimo kipo juu.
Kaka nakwambiaje akitaka battle yoyote huyo msela Mavi nitamkalisha kwasababu hakuna aina ya kilimo ambacho utakosa ndani ya Tanga ..

Ukiachilia mbali kwamba TA ndio wazalishaji wakubwa wa Machungwa na Katani Tz lakini aina zingine za kilimo zipo pia
 
Ghana tumeshaikalisha, Ivory Coast tumeshaikalisha. Kituo kinachofuata ni Kenya
1681895389635.jpg
 
Airport ya mkoa wa songwe leo imehamishiwa mbeya.? 🤣🤣🤣
Hivi nyie ni Watanzania kweli? Mnaelewa mnachoongea lakini? Mna Google earth Kwa nini hamuangalii ramani?

Si ajabu mnajitutumua ila hakuna mnachokijua,toeni tongotongo hapa
 
Back
Top Bottom