Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshots_2023-04-06-21-58-46.png
 
Pangani ni Mji wa Utalii Kuna beaches Kali kama za Zenji kule.

Ukaweke Arusha na Mwanza pesa zitarudi vipi?
Wewe sio Mtanzania, ni rahisi sana kukugundua.

FYI, in Tanzania, Arusha ndio Mkoa pekee wenye guest houses nyingi kuliko mkoa wowote ule. Karibia kila nyumba Arusha ni guest house na bei ya nyumba kupanga ni mara mbili ya Dar.
 
Ni pupa ndio kwa mpira gani uliopo kenya hvi kenya kuna mpira wa kweli?? 🤣🤣

Yani najaribu kukuonesha vile hua muna pupa ya kukimbilia miradi isikua na tija kaa taifa ndio maana nimegusia ile interchange ya ahero

Sio suala la kuumia ni suala la kujua ukweli
Kwani stadiums ni ya mpira pekee? Sema Tz is only good on one sport. We are good on athletics, rugby javelin. Also stadiums are used to host events
 
Kwani stadiums ni ya mpira pekee? Sema Tz is only good on one sport. We are good on athletics, rugby javelin. Also stadiums are used to host events
Nyinyi ni watu wakuchekesha kila siku na hili tatizo hua hamujifunzi miaka nenda miaka rudi 🤣🤣 siasa za wakubwa zinawafanya munakua mafala sana

Ahero munajenga interchange for what? kwann munakopa alot of money kwenda kujenga vitu ambavyo havina faida na uhitaji kwa wakat huu kwasababu ahero itahitaj hio interchange 40 yrs to come not now au ndio wanasiasa wenu huwadanganya kwa mbinu hzo miradi ya kutafuta pesa za kuiba
 
wacha kupangia watu wenye hela zao wapi pa ku-invest era za mwendazake zimepita!

Muache Magufuli, kazi zake zimetukuka.

Magufuli alimtoa Ummy kwenye Wizara ya Afrya.












FtCM5DrakAEFR5i



Wizara ya wakata umeme hii, imerudisha madudu ya malipo haya ya kishenzi.
FtCM5yKaQAE6WVp



Both fools currently ndio mawaziri wa wizara husika walitimuliwa na magufuli na Samia kawarudisha hapo.





Samia hana uwezo wa kuongoza Tanzania na ni wachache sana wenye walikua na uwezo huo, nao ni: Nyerere, Magufuli.
 
Muache Magufuli, kazi zake zimetukuka.

Magufuli alimtoa Ummy kwenye Wizara ya Afrya.












FtCM5DrakAEFR5i



Wizara ya wakata umeme hii, imerudisha madudu ya malipo haya ya kishenzi.
FtCM5yKaQAE6WVp



Both fools currently ndio mawaziri wa wizara husika walitimuliwa na magufuli na Samia kawarudisha hapo.





Samia hana uwezo wa kuongoza Tanzania na ni wachache sana wenye walikua na uwezo huo, nao ni: Nyerere, Magufuli.

Nilistaajabu kuskia mtoto wa january makamba anafanya party kwenye private jet🤣🤣🤣🙌
Mtu kama mzee makamba anaulizwa swali na mwandishi anajibu pumpa tena kwa kuhamaki yote ni kwasababu ya kutetea madudu

Ummy mwalimu wizara ilishamtoa kamasi siku nyingi sana ila ndio utasema nn? Utajibiwa haki sawa kwa kila mtu

TTCL ilikua inafanya vzr na inakuja vzr sana ila kaingia yule mzee wa madudu kaenda kuua kampuni kwa maslahi ya private telecommunication companies, kuna siku bungeni alibanwa na wabunge kuhusu internet kwamba iishe kwa matumizi ya mtu na sio masaa 24, ila majibu aliyoyatoa ni madudu matupu utasema hakuchaguliwa na wananchi eti TTCl haijui madeni inayodai🙌

Wizara ya fedha unaenda kumpa mwigulu nchemba serious? Yani hapa ndio nilichoka kabisa, juzi kabanwa bungeni kuhusu ufisadi air tanzania kachinganya kamwingiza na rais kwenye tuhuma 😆😆😆 mzee wa tab and trat
 
Back
Top Bottom