Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lakini Kwanini wameiweka Pangani, sio kwa ubaya ila return of investment yao haitakuaa kubwa , kama wangeweka mji yenye mzinguko mkubwa. Mwanza , Arusha au Dar au hata Tanga mjini
Mkuu, umefika pangani kuona jinsi palivyo na potential?, Wacha kabisa mkuu asikuambie mtu, Kama uko na pesa haraka Sana kimbia ukanunue Ardhi pangani.
 
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
20230402_222328.jpg
 
Hapo hujajibu hoja yake. Kujibu hoja yake, ni kuleta inayoonyesha nchi zipi (na idadi zake) watanzania wanapenda kusafiri wakienda nje

Nafikiri nimejibu vyema. Nimeonesha ya kuwa si kweli Mtanzania wa kawaida passport yake imejaa mihiri ya South Africa. Watanzania si wasafiri na wanachukulia South Africa kama Kenya, nchi za vurugu na uhalifu.
1680798591620.png
 
Lakini Kwanini wameiweka Pangani, sio kwa ubaya ila return of investment yao haitakuaa kubwa , kama wangeweka mji yenye mzinguko mkubwa. Mwanza , Arusha au Dar au hata Tanga mjini
Pangani ni mji wa utalii kuna nice beaches na saadani park kwa tourism pia ni between Tanga and Dar/Bagamoyo hivyo ni very strategic area.
 
Back
Top Bottom