Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,910
- 103,771
wacha kupangia watu wenye hela zao wapi pa ku-invest era za mwendazake zimepita!Lakini Kwanini wameiweka Pangani, sio kwa ubaya ila return of investment yao haitakuaa kubwa , kama wangeweka mji yenye mzinguko mkubwa. Mwanza , Arusha au Dar au hata Tanga mjini
