🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 punda anakimbia utasema chopper
GDP was 107bn dollars kabla dafu halijashuka now if you compute GDP with this rate of KES depreciation utakuta GDP now inasoma 85bn dollarsHili dafu linaendelea kuporomoka tu kutoka rate ya 24.
Hoja zao kati ya zile 3 zilizobaki ni English na GDP. Currently and soon, bado GDP inaendelea na itaendelea kuwaumbua. Kenya now ni level ya Zimbabwe
View attachment 2577278
Hii battle inanifurahisha sana cause haitakuja kuisha. Pia kuna mengi ya kujifunza hapa
Acha battle iendeleeView attachment 2577421

ni kwanini SA wanaadvertise sana tourism yao Tanzania kuanzia kwenye traditional media kama radio, TVs, newspapers mpaka online media kwa nguvu kubwa sana?
inaonesha Tanzania ni bonge la potential market kwa SA tourism!
View attachment 2577445View attachment 2577446

Asante kwa render 👏👏👏