Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kiwanda kipya cha mkulazi sugar kimefkia asilimia 75%
Screenshots_2023-04-05-19-51-56.png
Screenshots_2023-04-05-19-52-12.png
Screenshots_2023-04-05-19-52-25.png
 
kutoka kwa mkenya ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

samahani kwa Watanzania wanaoishi kwenye nyumba kama hizi ila ukweli wa hizi kind of housings zimeelezewa vizuri na huyu mkenya especially kama unaishi na familia humo ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

watu wa pipeline wapo attacked


 
Watupe majibu kwanza hzo ndege ambazo zime ground ziko wapi na mwisho wake ni nn, na ile ndege iliyotekwa iko wapi, wasituletee mambo ya kisenge, ndege zipo na hazifanyi kazi huku air Tanzania daily ni delay tu wanakuja na majibu mepesi ya kisenge senge, ooohhh ndege zinakuja, sasa ndege zinakuja alafu zile za mwanzo ziko wapi?
 
Back
Top Bottom