Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaongea kwa hisia nyingi sana and saying nothing. Aliyekuambia projects zetu are not demand-driven ni nani? Ama hapo ndio kujifariji imekufikisha? Unataka kutuaminisha kwamba Mwanza, your second largest city haina demand ya kuwa na interchanges to ensure free flow of traffic? Wewe ni kiazi kabisa

Ninyi hamkosangi vijisababu vya kijinga kutetea maendeleo yenu finyu huku mkikerwa na maendeleo ya watu wengine.

Railway city inayotaja, for instance, is not even funded by the government 100%. The government is simply providing land and necessary infrastructure for private investors willing to invest in the project, just like Tatu City. But look at what you've said above!!

Ninyi ni watu wa kuhurumiwa tu, nothing else
Hizo necessary infrastructure ni bure hazitumii tax payers money?
 
Not even East Africa, hakuna any other country in Africa ikona Rivian. Rivians are only sold in US and recently in Canada. Hata Europe bado hazijafika. That Safari Van might be the first Rivian RHD vehicle.
The owner of Ol Pejeta ranch imported two last year.
 
Hii office inafanana na 500m ksh serious 👇👇 over 8.5b tsh

View attachment 2576656





Jichoboi huwa kiongereza kinakupa kisogo saana, comings soon inamaanisha wanapanga kijenga, does that look like a new office complex? This is the current office.

However, the county govt ought to prioritize on health and educational facilities before building such overpriced complexes
1892671C-CF66-4C4D-801B-030CD52CA739.jpeg
 
So tuseme rivian ndio inaleta ugali juu meza au ???? 😆😆😆😆😆
Electric esigiara ndio inaleta… you were just bragging the other day about Tz being a “pioneer” of EV’s in EA when we are yet to see a single EV
 
Back
Top Bottom