Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

👏👏👏👏 Nicxie Teargas NairobiWalker etc
Dear kenyans vote for mudathir yahya from yanga 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Screenshots_2023-04-04-19-03-19.png

 
Sisi projects zetu ni demand driven sio kujenga tuu halafu tunafanya prioritisation vizuri sana unlike you guys mwanasiasa akiona kuna ulaji mahali ana initiate project ili wapate kichaka cha kula hela ndio maana miradi yenu mingi ni obsolete haisaidii wananchi. Miradi iliyofeli kenya kwa reports za hivi karibuni ina value of almost 70bn USD If I am not mistaken.

Mfano mzuri ni serikali kuweka nguvu kwenye railway city project kwasababu watu wameshachungulia deal la real estate wakati wananchi wakulima na wafugaji wanakufa njaa maana serikali ilitakiwa ifanye irrigation kuwa national priorty wajenge mabwawa mengi ili kuondokana na njaa na vifo vya binadamu na mifugo.
Unaongea kwa hisia nyingi sana and saying nothing. Aliyekuambia projects zetu are not demand-driven ni nani? Ama hapo ndio kujifariji imekufikisha? Unataka kutuaminisha kwamba Mwanza, your second largest city haina demand ya kuwa na interchanges to ensure free flow of traffic? Wewe ni kiazi kabisa

Ninyi hamkosangi vijisababu vya kijinga kutetea maendeleo yenu finyu huku mkikerwa na maendeleo ya watu wengine.

Railway city inayotaja, for instance, is not even funded by the government 100%. The government is simply providing land and necessary infrastructure for private investors willing to invest in the project, just like Tatu City. But look at what you've said above!!

Ninyi ni watu wa kuhurumiwa tu, nothing else
 
White elephant wakati it's handling your cargo? Do you even listen to yourself?
Handling 19 transshipment ship kwa miaka 2 hvi ww unaakili timamu 🤣 hebu tuambie imekusanya bei gani for those 2 yrs totaly nothing 😆😆😆

 
Back
Top Bottom