Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unabisha vitu vipo wazi kabisa, kati ya Tz na Kenya ipi raia wanakufa njaa? Ipi inaletewa misaada ya chakula? Mbn mnapenda ubishi wa kitoto?
Hao wanaokufa njaa na kupelekewa misaada ya chakula wamejumuishwa kwenye hesabu ya 20 million.
 
So you know better than our government? Bongolala, mbona 60m kidogo? Weka iwe hata zaidi ya 100m
100m hamjafika ila mpo zaidi ya milioni 60, na ndiyo maana chakula kimekuwa shida huko kwenu cz uzalishaji hauendani na idadi ya watu.
 
Ngoja tuwawekee picha kabisa.
Screenshot_20230403-142658.jpg
 
Back
Top Bottom