Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ngoma hautawezana nayo kijana wa Tandale. Manufactured goods are now Kenya's 3rd leading export item after tea and horticlutre respectively. I couldn't find 2022 figures but in 2020, manufactured goods export value in Kenya stood at $6.52 billion. That's six times more what your country exported two years later in 2022 . Tukisema number yetu mtasoma hadi kiama we know what we talkin about View attachment 2563243
Total Tanzania exports value stands at $9.4B 2022, hamuwezi kushindana na Tanzania ninyi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
The importance of a railway system is not measured by the length it covers but by volumes in carries, both in passengers and cargo. Hapo tunawazidi
Wacha maneno mengi, weka reli zenu ambazo zinafanya KAZI kwa Sasa, wewe ulisema reli zenu ni functional wakati reli zetu sio functional.

Weka kwanza tujue ni nchi gani yenye reli ambazo ni functional, tukitoka huko tutatizama ni nchi reli zipi zenye kubeba watu na mizigo mingi zaidi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Dodoma
FB_IMG_1679607921512.jpg
 
This is the value of our manufactured goods exported in 2020. I couldn't find 2022 figures unfortunately. View attachment 2563254hebu tupe zenu za 2020 or even 2022 if you can we compare notes.

About electricity, tutaongea once hydropower dam is operational. Kwa sasa tupo juu yenu in both production and consumption

About real estate, I hope this will be a good read to show you why we are ahead of you Kenya Market Update
Nixie hizo ni exports zote za products sio manufctured peke yake 6.52usd billion was total products you expoted inculding Tea, Cofee ,manufctured goods , cars kila kitu ..I hope umeelewa vizuri .Ili tusibishane sana ntakuletea Data za UNCTAD ambazo huwa wana compile za Nchi zote, Nitaleta za 2021 Za Tanzania,Ethiopia na Kenya Imports na Products

Kisha nitaweza za Tz za 2022 cause BOT washazitoa


in 2021 Kenya exported 6.7billion usd of goods ( Includes Manufctred and non Manufactured )and imported 19bil usd creating a defict of 12bn usd , ushaona kwanza kwanini mna reserve ndogo ya dollar ..Also it exported 4.6bil usd of services (Includes tourism) and imporyed 4bn usd of service creating a balance of 620mil usd . Screenshot no 1

In 2021 Tz Expotred 6.3bil usd of Goods includes Manufctured and non manufctured while it imported 10bil usd .A deficit of 4bn usd was created . on Exports of service it exported 3.2bn usd imported 1.7bil usd of services

Ethiopia Data ziko on 3rd but they exported 3.9bil of goods and imprted 15bn usd , with service export being 5.5bn usd and imports of around 6bn usd

In 2022 cause Data za Tz Zipo
it exported 12bn usd of goods and services goods alone being 7.1bil usd out of that manufctured goods are 1.4bil usd alone last year


Sasa nyie hata kwa 2021 manufctured alone ni ngap ?

Screenshot_20230324-054520_Chrome.jpg
Screenshot_20230324-054603_Chrome.jpg
Screenshot_20230324-054630_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom