Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani Katiba Mpya haijawasidia?
Mkuu wakenya ni watu wa ajabu Sana, kupenda kujisifia na kudhani Kila walichofanya wao ndio Bora na lazima nchi zingine zifuate kichwa kichwa hata Kama hilo jambo halina faida yoyote Hilo, katiba mpya haina faida yoyote katika maendeleo ya nchi zetu, zaidi ni kwa ajili ya kuwanufaisha "politicians" Ili kufikia malengo yao kiurahisi zaidi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Data ya Tanzania ya 2016 ulileta wewe mwenyewe bongolal

Na hata hiyo yenu ya 2022 bado hauguzi ya Kenya ya 2020! 😂😂

Tanzania 2022 $103.4mView attachment 2558905

Kenya 2020 $420m 😂😂😂😂
View attachment 2558907

Nyinyi number yetu mtasoma hadi kiama
Hvi ww unaelewa kilichoandikwa au ??🤣🤣
Hayo ni mauzo ya cotton as raw material only and not finished goods leta data ya 2023 tuone ni kiwanda gani kinafanya kazi kenya
 
Only 19 vessels in the period almost 13 months, an average of one vessel per month, are you sure with this statistics?, If yes this fits very well with a definition of a white Big Elephant.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
We all the real white elephant in East Africa is JNIA terminal 3 which has a capacity of 6M but only handles 500,000 passengers 🤣🤣😂🤣
 
Only 19 vessels in the period almost 13 months, an average of one vessel per month, are you sure with this statistics?, If yes this fits very well with a definition of a white Big Elephant.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
19 vessels in the period of two years not 13 months 🤣🤣🤣🤣🤣 from 2021
 
Kilimani

20230320_121150.jpg
20230320_121147.jpg
20230320_121228.jpg
20230320_121232.jpg
 
Back
Top Bottom