joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Sina umeme ila nipo na chakula, amani na Nyumba nzuri Sana, wewe vipi umekula Leo?Uko na stima kwako?![]()
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sina umeme ila nipo na chakula, amani na Nyumba nzuri Sana, wewe vipi umekula Leo?Uko na stima kwako?![]()
Mkuu wakenya ni watu wa ajabu Sana, kupenda kujisifia na kudhani Kila walichofanya wao ndio Bora na lazima nchi zingine zifuate kichwa kichwa hata Kama hilo jambo halina faida yoyote Hilo, katiba mpya haina faida yoyote katika maendeleo ya nchi zetu, zaidi ni kwa ajili ya kuwanufaisha "politicians" Ili kufikia malengo yao kiurahisi zaidi.Kwani Katiba Mpya haijawasidia?
Katiba mpya ilisahau kuweka kipengele Cha haki za binadamuSisi tuna haki za binaadamu nye nye nye
Hizi links alizoweka hapo hiyo ni Marekani au Nairobi?Acha kulinganisha Tanzagiza na USA. USA is not LDC![]()
Nasubiri mauaji ya halaikiAcha wapasuane tu

Hvi ww unaelewa kilichoandikwa au ??🤣🤣Data ya Tanzania ya 2016 ulileta wewe mwenyewe bongolal
Na hata hiyo yenu ya 2022 bado hauguzi ya Kenya ya 2020! 😂😂
Tanzania 2022 $103.4mView attachment 2558905
Kenya 2020 $420m 😂😂😂😂
View attachment 2558907
Nyinyi number yetu mtasoma hadi kiama
Mm tena nilileta data ya 2016 sio haya nioneshe wapi nilileta hio data 🤣🤣🤣🤣Data ya Tanzania ya 2016 ulileta wewe mwenyewe bongolal
Na hata hiyo yenu ya 2022 bado hauguzi ya Kenya ya 2020! 😂😂
Tanzania 2022 $103.4mView attachment 2558905
Kenya 2020 $420m 😂😂😂😂
View attachment 2558907
Nyinyi number yetu mtasoma hadi kiama
Kunyaland mwambieni Ruto badala ya kutandika mabomu Vijana akawatafutie mashamba walime kama anavyofanya Samia huku Tanzania.😁😁
Anajitia uchizi huyo 🤣🤣🤣🤣🤣Hizi links alizoweka hapo hiyo ni Marekani au Nairobi?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
kashavurugwa akili, chezea malnutrition wewe hahahaHizi links alizoweka hapo hiyo ni Marekani au Nairobi?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Only 19 vessels in the period almost 13 months, an average of one vessel per month, are you sure with this statistics?, If yes this fits very well with a definition of a white Big Elephant.
Chakula gani uko nayo? Albino ama?🤣🤣😂🤣Sina umeme ila nipo na chakula, amani na Nyumba nzuri Sana, wewe vipi umekula Leo?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
That's residential area?😂😂🤣Hizi links alizoweka hapo hiyo ni Marekani au Nairobi?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hata moderators pia ulisubiri wanichape ban wakakudisappoint, hivo ndio utakuwa disappointed Leo pia Mr. Watchman 😂😂🤣😂Nasubiri mauaji ya halaiki![]()
We all the real white elephant in East Africa is JNIA terminal 3 which has a capacity of 6M but only handles 500,000 passengers 🤣🤣😂🤣Only 19 vessels in the period almost 13 months, an average of one vessel per month, are you sure with this statistics?, If yes this fits very well with a definition of a white Big Elephant.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
19 vessels in the period of two years not 13 months 🤣🤣🤣🤣🤣 from 2021Only 19 vessels in the period almost 13 months, an average of one vessel per month, are you sure with this statistics?, If yes this fits very well with a definition of a white Big Elephant.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app