Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watchman The best 007 kwani moderators hawakukuskia ukiwaita?🤣😂😂 Tunaweza waita tena ama tuachane na Hayo mambo?😂😂
 
Fuatilia hiyo link niliyokuwekea, usinipotezee muda. Kesho nenda kwenye maandamano ya "baba" ukalalamike kuwa hali ni mbaya sana huko unyang'auni.🤣
Bado Tanzania ni LDC kwa hii link yako 🤣 🤣 ... najua Danganyika maisha ni rahisi na kila mtu ni tajiri hamuhitaji maandamano ndio maana nyinyi ni LDC
1679288513335.png
 
Bado Tanzania ni LDC kwa hii link yako 🤣 🤣 ... najua Danganyika maisha ni rahisi na kila mtu ni tajiri hamuhitaji maandamano ndio maana nyinyi ni LDC
View attachment 2558781
Kenyans are still living in a dream. The world is moving forward. The changes are huge. Within just one year there are big changes.


If you don't want to change by free will, Change will force you to change
 
Nilimsikia mzee Sunday Manara akisema, tungewatumia hawa wachezaji wakigeni kujenga vipaji vya wachezaji wetu (wazawa) chipukizi.

Hii ya club kutegemea kununua wachezaji nje siyo nzuri sana kwa Taifa.
sure, hawa akina mayele, musonda, k aziz hawana tofauti na akina lunyamila, mohamed hussein, kizota etal tatizo club za Tanzania hatutaki kuwekeza kwa academy
 
Kenyans are still living in a dream. The world is moving forward. The changes are huge. Within just one year there are big changes.


If you don't want to change by free will, Change will force you to change
bado mkunya anaota na taarifa za mwaka 2002 wakatika TANZANIA ikiwa haina hata wazo la kuwa na SGR
 
Tukisema mtasoma numbernumber yetu hadi kiama this is what we mean

Kenya
View attachment 2558479

link

Tanzania
View attachment 2558480

Link
Linganisha vitu vyenye kufanana wewe boya, huna akili. Cotton inayozalishwa Tanzania, 15% inauzwa nje Kama Cotton, the rest hutengenezwa na kuuzwa Kama garments.

Unapaswa kulinganisha mauzo ya Cotton kati ya Kenya na Tanzania "separately", na mauzo ya" garments" separately of the same year



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hii ni data ya 2023 mdanganyika ndio hio link hapo. Tanzania bado ni LDC
Kesho nko maandamano mbaya sana ni haki yangu. Kenya sio kama Dangagiza ukiandamana CCM wanakupiga risasi kama Tundu Lisssu
2022-ldc_report_ldc_map_1200.png
Nasikia huko maandamano yamekatazwa na polisi wanatimua watu kwa mabomu ya machozi, vipi nchi yenye demokrasia kuzuia maandamano ya amani, au katiba mpya imezeeka mnahitaji katiba nyingine?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom