ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Azam hio kazi kashaianza mbonasure, hawa akina mayele, musonda, k aziz hawana tofauti na akina lunyamila, mohamed hussein, kizota etal tatizo club za Tanzania hatutaki kuwekeza kwa academy
Azam hio kazi kashaianza mbonasure, hawa akina mayele, musonda, k aziz hawana tofauti na akina lunyamila, mohamed hussein, kizota etal tatizo club za Tanzania hatutaki kuwekeza kwa academy
Mm naomba mkenya mmoja ajitokeze anioneshe modern and advanced airport luggage system kama hii ya JNIA terminal 3 👇👇👇👇👇👇
View attachment 2557246
![]()
![]()
![]()
MY TAKE
Wapi Lamu Port?
Damn it Wakundustan!
lamu port imekuwa host and conduit ya mazizi!
![]()
![]()
2022 ndio mli install hizi alafu mateta sana 🤣
Acha wapasuane tu 🤣🤣Nasikia huko maandamano yamekatazwa na polisi wanatimua watu kwa mabomu ya machozi, vipi nchi yenye demokrasia kuzuia maandamano ya amani, au katiba mpya imezeeka mnahitaji katiba nyingine?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
The best neighborhoods in Dar is Slum 🤣😂😂. Real LDC
Kwani Katiba Mpya haijawasidia?Nasikia huko maandamano yamekatazwa na polisi wanatimua watu kwa mabomu ya machozi, vipi nchi yenye demokrasia kuzuia maandamano ya amani, au katiba mpya imezeeka mnahitaji katiba nyingine?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Alaf angalia ulivokua chizi yani data ya kenya unaleta 2020 na data ya tanzania unaleta 2016 🤣🤣🤣🤣 na hii nikuonesha kua hamujiamini kwenye ushindani ikiwa tanzania 2022 ime export cotton as raw material over 103m usd unategemea nguo zitauzwa kiwango gani ??
Yani tunauza raw materials + finishing goods kwa pamoja 😆😆😆
Marekani inakumbwa na mafuriko itakua tanzania 🤣🤣🤣 au nyinyi hamupati mafuriko ??
Transshipment hub💪💪💪
Nasikia umeshakula virungu vya kutosha hapo Kibera😀😀Acha kulinganisha Tanzagiza na USA. USA is not LDC😂😂🤣