President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,038
- 93,419
Halafu huyu mkenya asiwa drag kwenye tribalism and racism. Watanzania wote ni watanzania regardless of color or race.
mambo ya ubaguzi tulishaachana nayo baada ya uhuru wa Tanzania.
Katiba ya Tanzania inatamka wazi kuwa watu wote waliokuwa Katika eneo la jamhuri ya muungano baada ya uhuru na kukubali kuwa ni sehemu ya Tanzania basi watu hao ni Watanzania.
Sasa akina Rostam utawapeleka wawe raia wa nchi gani? Wamezaliwa Tanzania, babu za babu zao wamezaliwa Tanzania.
Hizi mentality za wakenya za kuwabagua watu ni mawazo ya kishamba kabisa.
Huko UK waziri mkuu ni mtu mwenye asili ya India. Sasa asipate haki eti tu hafanani rangi na wengine?
This is stupid Idea.
Even Bantus asili yao siyo East Africa. Kwanini tuendelee kung'ang'ana na mambo ya kitoto?
Kenyans are most stupid people in this planet.
mambo ya ubaguzi tulishaachana nayo baada ya uhuru wa Tanzania.
Katiba ya Tanzania inatamka wazi kuwa watu wote waliokuwa Katika eneo la jamhuri ya muungano baada ya uhuru na kukubali kuwa ni sehemu ya Tanzania basi watu hao ni Watanzania.
Sasa akina Rostam utawapeleka wawe raia wa nchi gani? Wamezaliwa Tanzania, babu za babu zao wamezaliwa Tanzania.
Hizi mentality za wakenya za kuwabagua watu ni mawazo ya kishamba kabisa.
Huko UK waziri mkuu ni mtu mwenye asili ya India. Sasa asipate haki eti tu hafanani rangi na wengine?
This is stupid Idea.
Even Bantus asili yao siyo East Africa. Kwanini tuendelee kung'ang'ana na mambo ya kitoto?
Kenyans are most stupid people in this planet.