Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kichapo kimewachanganya, oohh according to Wikipedia tuna shule 10000 alafu nyie mna 5000, haya tuonesheni hizo shule hawana, inatumwa shule moja alafu kila mkenya anaipost, wanakesha ku edit article kule Wikipedia ili waonekane wako juu ya Tz but tukienda ground shuzi linawatoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watu wanauana kwa kuandamana, ambapo ni haki yao kikatiba?? Mmelelewa kwenye nchi ya kijamaa na kibepari hadi vitu basics kwenye demokrasia zinakaa vita kwenu
Demokrasia ya kutembea na majeneza?
Demokrasia ya kutembea na visu?
Demokrasia ya kuuana? Bora tubaki hv hv na nchi yetu iliyobarikiwa kila kitu.
 
Kichapo kimewachanganya, oohh according to Wikipedia tuna shule 10000 alafu nyie mna 5000, haya tuonesheni hizo shule hawana, inatumwa shule moja alafu kila mkenya anaipost, wanakesha ku edit article kule Wikipedia ili waonekane wako juu ya Tz but tukienda ground shuzi linawatoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakenya wamepost quality schools nyinyi mmeweka mashule funny funny. Battle ni nchi gani ina shule nzuri si quantity ya shule, ambayo kenya ina shule maradufu ya Tanzania. Tunataka kuona shule nzuri nzuri si shule tu
 
Watu wanauana kwa kuandamana, ambapo ni haki yao kikatiba?? Mmelelewa kwenye nchi ya kijamaa na kibepari hadi vitu basics kwenye demokrasia zinakaa vita kwenu
Kwahiyo huko kwenu kuuana ni haki ya kikatiba?, Kwahiyo katiba yenu inaruhusu kuuana lakini haina uwezo wa kuwasaidia kupata chakula na kuondokana na ugumu wa maisha, hovyo sana ninyi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
FpFPe26WIAAP5ZW.jpg
a33aea273dfb4004b70fb49158b99ad3_335525529_923491852300075_5907352116844074011_n.jpg
de40d8a78d914b4baaac002b52700551_336322122_517620767227851_2506664455819748072_n.jpg
b97481e2f30a4360b2dd8663aeb75763_335652910_882246839529944_947980598588679587_n.jpg
 
Hii hapa ni theatre ya the most expensive school in Tanzania. Viti za plastic. 🤣 🤣 🤣

images-2023-03-14t230118-359-jpeg.2551692


Hebu fananisha na ya MPESA School - shule ambayo kama hujiwezi haulipi school fees. Na bado wanataka tushindane. 🤣🤣🤣

screenshot-2019-07-25-at-08.45.44-2000x1324.png


CC Geza Ulole chongchung
This explains why kina jichoboi and the rest behave the way they do… you can imagine how a common school kina jichoboi attended looks like and figure out why wako vile wako sai 🤣
 
Back
Top Bottom