The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Imani International School.
View attachment 2552419
View attachment 2552421
View attachment 2552425
![]()
View attachment 2552429








Imani International School.
View attachment 2552419
View attachment 2552421
View attachment 2552425
![]()
View attachment 2552429








Achana na hao vichaa wameshatepeta 😂😂😂We mbn unalalamika lalamika, unawakatisha tamaa wenzako kwa kulalamika lalamika huko, weka picha za shule wacha kulalamika, hii battle uliitaka mwenyewe na nikakuuliza uko tayari? Sasa unalia lia nn, kama shule Tz ina shule nyingi kuliko Kenya na picha zimewekwa humu na kila mtu kaona.
Mmeletewa shule za ghorofa za serikali tena zina vioo mnasema hamtaki shule za ghorofa, mara oohh apartment
Nmefurahi sn kuona mnafananisha shule za vijana wetu na apartment, hyo inaonesha jinsi gani tuko juu.
Mwisho kabisa niseme kwamba daima Kenya haitokaa iikaribie Tz kwenye idadi ya shule, never ever cz shule zenu zote mlizopost 90% ni zile zile za wakoloni wakati watanzania wameweka picha za shule ambazo nyingi zipo U/C. Serikali yenu haijengi shule, haijengi barabara, haijengi hospitali wala haijengi reli lkn inakusanya, muilaumu serikali yenu msitulilie sisi tunapopost maendeleo tuliyofikia.
Ingekuwa wanaonekana wazee huyo kondoo hangesema ati ni watoto wa Primary School. On the other hand Tanzanian students are ancestors, uso zimekunjana kunjana😂😂Hao ni watoto lkn wanaonekana wazee, ndivyo mlivyoumbwa sura zenu Wakenya.
Hizi mmepost hapa for the past 6 years 😂😂. Ama unataka nikuonyeshe this same area when you posted it in 2020?😂😂😂Sasa mbn unapost zile zile miaka nenda rudi, sisi tumeshaanza kupost za Dodoma we umebaki pale pale.View attachment 2552458
WALIUL ISLAMIC SECONDARY SCHOOLIngekuwa wanaonekana wazee huyo kondoo hangesema ati ni watoto wa Primary School. On the other hand Tanzanian students are ancestors, uso zimekunjana kunjana😂😂
Huo ni outright wizi.
Shule tuu mnawakimbiza hivi afya si mtakua mnaua mbu kwa nyundo sasa!Sio shule tuu, tukitoka shule tunakuja afya, ndiyo maana halisi ya huu uzi mkuu.
Talking about standards; that is not comparable to whole building faling down as in your case.Are there safety standards in these tz schools really.....a student or pupil can really fall off these rails easily or when an emergency breaks out ...smh
Weka hapa supporting data ya Kenya tuone acha ngonjera.Naona wengine bado wanaongelea numbers. Yani 10,400 vs 5,200 na bado wanataka tushindane.
View attachment 2552479
Weka hapa supporting data ya Kenya tuone acha ngonjera.
Ukimention gated communities kuwa sure ni hii na kengine Kadogo kanakuanga pale Karibu na CBD, Upanga nikidhani.🤣Hizi mmepost hapa for the past 6 years 😂😂. Ama unataka nikuonyeshe this same area when you posted it in 2020?😂😂😂
Stupid Kenyan 🤣 🤣 🤣 Amka utajikojolea
Sijasema Egypt hawana masikini. Even America has poor people but that poor person in America akiletwa Kenya ama Tanzania is considered a well off person. The point is, relative poverty varies from one country to another depending on the economic conditions of that specific country. Tanzania has set low relative poverty level while Egypt, Argentina and South Africa has high relative poverty line ya juu. That explains why it appears to have many poor people compared to Tanzania.
But when we use absolute poverty which is the international poverty line of $1.9 dollars per day that cuts all countries, that map will have a totally different look.
Do some research on absolute poverty and relative poverty. Utaelewa ni kwa nini hiyo map inaonyesha hata Argentina ina masikini wengi kuzidi Tanzania. Msiwe watu ambao hawakosolewi na ni wagumu kuelewa simple concepts