Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Imani International School.

View attachment 2552419
View attachment 2552421
View attachment 2552425
1678876716941-png.2552427

View attachment 2552429
 
We mbn unalalamika lalamika, unawakatisha tamaa wenzako kwa kulalamika lalamika huko, weka picha za shule wacha kulalamika, hii battle uliitaka mwenyewe na nikakuuliza uko tayari? Sasa unalia lia nn, kama shule Tz ina shule nyingi kuliko Kenya na picha zimewekwa humu na kila mtu kaona.

Mmeletewa shule za ghorofa za serikali tena zina vioo mnasema hamtaki shule za ghorofa, mara oohh apartment

Nmefurahi sn kuona mnafananisha shule za vijana wetu na apartment, hyo inaonesha jinsi gani tuko juu.

Mwisho kabisa niseme kwamba daima Kenya haitokaa iikaribie Tz kwenye idadi ya shule, never ever cz shule zenu zote mlizopost 90% ni zile zile za wakoloni wakati watanzania wameweka picha za shule ambazo nyingi zipo U/C. Serikali yenu haijengi shule, haijengi barabara, haijengi hospitali wala haijengi reli lkn inakusanya, muilaumu serikali yenu msitulilie sisi tunapopost maendeleo tuliyofikia.
Achana na hao vichaa wameshatepeta 😂😂😂
 
Hao ni watoto lkn wanaonekana wazee, ndivyo mlivyoumbwa sura zenu Wakenya.
Ingekuwa wanaonekana wazee huyo kondoo hangesema ati ni watoto wa Primary School. On the other hand Tanzanian students are ancestors, uso zimekunjana kunjana😂😂
 
Naona wengine bado wanaongelea numbers. Yani 10,400 vs 5,200 na bado wanataka tushindane.🤣🤣🤣
Screenshot_20230315_143705.jpg

Screenshot_20230315_144037.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230315_143705.jpg
    Screenshot_20230315_143705.jpg
    112.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20230315_143658_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_20230315_143658_com.android.chrome.jpg
    159.4 KB · Views: 3
Are there safety standards in these tz schools really.....a student or pupil can really fall off these rails easily or when an emergency breaks out ...smh
Talking about standards; that is not comparable to whole building faling down as in your case.
 
Hizi mmepost hapa for the past 6 years 😂😂. Ama unataka nikuonyeshe this same area when you posted it in 2020?😂😂😂
Ukimention gated communities kuwa sure ni hii na kengine Kadogo kanakuanga pale Karibu na CBD, Upanga nikidhani.🤣
 
Sijasema Egypt hawana masikini. Even America has poor people but that poor person in America akiletwa Kenya ama Tanzania is considered a well off person. The point is, relative poverty varies from one country to another depending on the economic conditions of that specific country. Tanzania has set low relative poverty level while Egypt, Argentina and South Africa has high relative poverty line ya juu. That explains why it appears to have many poor people compared to Tanzania.

But when we use absolute poverty which is the international poverty line of $1.9 dollars per day that cuts all countries, that map will have a totally different look.

Do some research on absolute poverty and relative poverty. Utaelewa ni kwa nini hiyo map inaonyesha hata Argentina ina masikini wengi kuzidi Tanzania. Msiwe watu ambao hawakosolewi na ni wagumu kuelewa simple concepts

Swali langu ni kwamba who is a differential benchmarking setter? Na walianza lini kutumia? Maana kabla WBG walikuwa waki set benchmark moja kwa hizi devoping countries.
 
Back
Top Bottom