President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,037
- 93,419
Jifunze kuweka picha kwenye mtandao acha ushamba wa kibera.Anestar group of schools
Jifunze kuweka picha kwenye mtandao acha ushamba wa kibera.Anestar group of schools
Ndio maana nasema Ruto aache kuwadanganya ,hizo pesa hazitoshi kusapoti import bill yetu so dollar shortage woes Iko pale pale..We import a lot more than Tanzania.
Our oil import bill alone is more than $1 billion more than Tanzania.
Which tells you there's much less economic activity going on in Tanzania.
Bado kuna shule zaidi ya 2000 hivi. Naona wakenya wametepeta. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Issue ya shule tunaifunga leo. Hatutaki makelele tena.
Hao wanajitakia wenyewe, sisi watu weusi tu, tunaogopa kwenda Kenya, iweje wao ambao ni "easy targets" wanapenda kutembelea nchi hiyo ya hovyo?Baada ya watalii wawili kufa juzi kenya na huyu hapa mwengine sasa sijui wamemchinja
Only in Tanzania shule zinakaa rentals..zero aesthetics na functionalityMajengo mazuri kuliko yale ya Kule Topestan, Dusty Windowless buildings utafikiri wanaishi kunguru mle.
Only in Tanzania shule zinakaa rentals..zero aesthetics na functionality