Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kuzaliwa kwake ni africa tanzania na ni lugha inayotumika tanzania kwa asilimia 100 hakuna nchi inatumia kiswahili kwa asilimia 100 zaidi ya tanzania ukiipata hio nchi nitag😆😆
Kiswahili is not a serious language to me. Mara kihindi, mara kiarabu. And sometimes even Portuguese words pia ziko ndani😂😂
 
Hapo ndio uelewe kuwa Kiingereza ni lugha tu kama ilivyo kwa Kiswahili.
Naombeni turudi kwenye mada ya njaa na misaada kenya na siasa zao zinavowavuruga pamoja na uchumi wao wanajaribu kubadilisha mada ili kututoa mchezoni turudi kwenye mambo ya uchumi naombeni tupige kwenye kidonda 🤣🤣🤣
 
Hadi mnaiba gorofa za Harare Zimbabwe
So, hapa ni Harare
Screenshot_20230314-002552.jpg
 
Naombeni turudi kwenye mada ya njaa na misaada kenya na siasa zao zinavowavuruga pamoja na uchumi wao wanajaribu kubadilisha mada ili kututoa mchezoni turudi kwenye mambo ya uchumi naombeni tupige kwenye kidonda 🤣🤣🤣
Hawana lolote hawa nyang'au. Njaa tu inawasumbua.
 
Kuna wakati ulielezwa na mkenya mmoja hapa ndani late last week kama sijakosea kwamba this is relative poverty, not absolute poverty. Relative poverty varies from one country to another depending on the economic conditions of that specific country, and occurs when your income falls below your country's national median income. Kwa mfano, Tanzania can set her relative poverty at $2 while Kenya sets hers at $1.8. That's why kwenye hiyo map, Tanzania is ahead of countries such as South Africa and even Egypt and at par with certain European countries. Swali ni je, kuna masikini wengi Misri kushinda Tanzania? The answer is obvious. A person who lives below the relative poverty line in the US, for example, can be considered rich akija Kenya ama Tanzania.

In most cases, absolute poverty is what is used in measuring poverty rates in different countries

The most accurate parameter in determining poverty is absolute poverty. Currently, the universal standard for measuring global poverty is the international poverty line, which is set at $1.9 and cuts across all countries.

I hope this has answered your question
Kwahiyo Tz inaizidi Kenya kwenye idadi ya maskini?
 
Back
Top Bottom