ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Rudi kwenye mada kwanza hakuna kukimbia hapa 🤣🤣🤣🤣🤣Kila kitu ndio nini?
Rudi kwenye mada kwanza hakuna kukimbia hapa 🤣🤣🤣🤣🤣Kila kitu ndio nini?
Kama wao haijawasaidia sasa anataka mimi niongee kiswahili mufti ili iweje? 😂😂Kiswahili itamsaidia na nini?
Unaongelea akili ya kitumwa wakati unatumia kiswahili kuwasiliana?😂😂😂 Kiswahili is a corrupted Arabic language😂😂.Utakuwa na akili ya kitumwa mpaka lini?
So show us hzo types za shade tuzione hapa🤣🤣🤣🤣 na ukipata ni shade nitag wakwanza mmNimekuambia ingekuwa Kuna ranking ya ujinga wewe ungekewa mshindi. There are so many types of shades, this is one of them na hile ingine pia ni shade. Hata miti pia inatengeneza shade😂😂😂
Upuuzi mtupu..... Kiswahili is a corrupted Arabic language😂😂.
Kwanza kiswahili is not even an African language😂. Kiswahili is a mixture of Arabic, Portuguese and Bantu.Kama wao haijawasaidia sasa anataka mimi niongee kiswahili mufti ili iweje? 😂😂
Asilimia 65 ya Kiswahili ni kibantuUnaongelea akili ya kitumwa wakati unatumia kiswahili kuwasiliana?Kiswahili is a corrupted Arabic language
.
Is "Dunia" an African word?😂😂😂Upuuzi mtupu.
Ingekuwa sieleweki wala usingeniquoteHueleweki.
Kama wewe sio mtumwa mbona unaendelea kuabudu miungu wa wazungu na warabu? What happened to your African gods?😂😂😂Asilimia 65 ya Kiswahili ni kibantu
Nyinyi ndio watumwa ambao mnakitukuza Kiingereza
Twende taratibu bila hasira 🤣🤣🤣naomba rudi kwenye mada plzKwanza kiswahili is not even an African language😂. Kiswahili is a mixture of Arabic, Portuguese and Bantu.
Hicho Kiingereza chako unajua kimeazima maneno mangapi kutoka lugha nyingine?Is "Dunia" an African word?😂😂😂
Mungu sio wa mzungu lakini Kiingereza ni cha mzunguKama wewe sio mtumwa mbona unaendelea kuabudu miungu wa wazungu na warabu? What happened to your African gods?![]()
Kusoma pia hujui?😂😂😂 Wewe Sasa utasaidiwa aje?😂😂Twende taratibu bila hasira 🤣🤣🤣naomba rudi kwenye mada plzView attachment 2549788
Naweza kufanya hivyo kwa sababu hueleweki.Ingekuwa sieleweki wala usingeniquote
Did Africans know about Jesus before colonization? Did they know about Mohammed before arrival of Arabs? You Tanzanians are very confused 😂😂😂Mungu sio wa mzungu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣dodoma station ndio station ya kwanza ya kisasa treni kuingia ndani ya jengo in east and central africaKusoma pia hujui?😂😂😂 Wewe Sasa utasaidiwa aje?😂😂
Wakati huo huo husikilizi mziki mwingine zaidi ya Bongo fleva, kwanza mziki wenu unaitwaje mana me siujuiMziki zenu ni za kusimp with one genre. Here were talking about hip hop, dance hall and other international genre.
When it comes to dancehall music, there's no African that can come close to Redsan.





Acha kutoroka😂😂😂.Hicho Kiingereza chako unajua kimeazima maneno mangapi kutoka lugha nyingine?
We left our religions then we followed the Whites' and so did you.Did Africans know about Jesus before colonization? Did they know about Mohammed before arrival of Arabs? You Tanzanians are very confused![]()