Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Duuhhh nn hikii wakuu
Screenshot_20230314-001407.jpg
 
So ww unataka kutuambiwa kiswahili ni lugha ya wapi ?? Au unaumia kuskia kiswahili asili yake ni tanzania 🤣🤣🤣
Ati asili ya Kiswahili ni Tz?😂😂😂. Wewe lala bana, your stupidity will chock you😂😂
 
Kiswahili ni lugha iliokusanya asili nyingi sana sio kiarabu tu ?? Manake ukisema dunia ni neno la kiarabu na dunia ni neno la kihindi pia so??
Meaning Kiswahili is not an African language. Kiswahili is combination of borrowed words confusedly added together.
 
Ati asili ya Kiswahili ni Tz?😂😂😂. Wewe lala bana, your stupidity will chock you😂😂
Kama asili yake sio tanzania basi tafuta kiswahili kilizaliwa wapi na ukipata hio nchi unitag🤣🤣 na labda umesahau tu tanzania ndio inapelekea kiswahili kizungumze africa nzima uganda, rwanda, congo , burundi etc wanaongea kiswahili kupitia jitihada za tanzania
 
Meaning Kiswahili is not an African language. Kiswahili is combination of borrowed words confusedly added together.
Sasa kuzaliwa kwake ni africa tanzania na ni lugha inayotumika tanzania kwa asilimia 100 hakuna nchi inatumia kiswahili kwa asilimia 100 zaidi ya tanzania ukiipata hio nchi nitag😆😆
 
Kama asili yake sio tanzania basi tafuta kiswahili kilizaliwa wapi na ukipata hio nchi unitag🤣🤣 na labda umesahau tu tanzania ndio inapelekea kiswahili kizungumze africa nzima uganda, rwanda, congo , burundi etc wanaongea kiswahili kupitia jitihada za tanzania
Rwanda na Burundi ni Africa nzima?😂😂😂😂 Kiswahili is not an African language let alone Tanzania.😂
 
Back
Top Bottom