Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IST ni ovyo sana. Nimeona picha zake humu haiwezi gusa Brookhouse, leave alone ISK. Halafu usiangalie how expensive a school is, angalia quality. Sasa ukilipishwa pesa nyingi ndio shule ni nzuri eti? MPESA School ni free, utasema hizo shule zenu vumbi zimeishinda kisa school fees? Alafu IST chenyewe kishule kidogo. Angalia ISK, St. Andrews Turi, Peponi school alafu uniambie. Halafu Brookhouse is not even the most expensive in Kenya kama ni school fees unataka kuangalia. Nadhani Kenya ISK ndio the most expensive ila kwa quality nikifananisha IST na internation Schools za Kenya hiyo IST bado sana.

ISK School Fees

View attachment 2548566


Tukiangalia kifedha ISK ndio the most expensive in the region. IST wanalipisha kuliko Brookhouse but ukiangalia value for money, Brookhouse iko mbele zaidi. Hiyo IST iko overpriced. Hapa Kenya hata top 10 haifiki kwa international schools. Hizi shule zimeishinda
1. ISK
2. Braeburn Lavington
3. St. Andrews Turi
4. Peponi School
5. Braeburn Garden Estate
6. Hillcrest
7. Greensteads
8. Rift Valley Academy
9. Rosslyn Academy
10. Nairobi International School
Unaongea maneno matupu. Wewe ni ovyo. Kenya ilikuwa bora miaka ya 80s lakini kwa sasa ni mdebwedo tu.
 
Tushatoka huko kwenye majengo, tunafanya miradi yenye tija, raia hawali maghorofa bali wanahitaji miradi kama hii yetu, kwa huo ujinga wenu mtaendelea kufa njaa mpk kiama View attachment 2548385View attachment 2548386View attachment 2548387View attachment 2548388View attachment 2548389View attachment 2548391View attachment 2548392View attachment 2548393View attachment 2548394
Wewe unataka kuwakimbiza humu. Halafu si nilisikia umekula ban JF imekuwaje tena?
 
IST ni ovyo sana. Nimeona picha zake humu haiwezi gusa Brookhouse, leave alone ISK. Halafu usiangalie how expensive a school is, angalia quality. Sasa ukilipishwa pesa nyingi ndio shule ni nzuri eti? MPESA School ni free, utasema hizo shule zenu vumbi zimeishinda kisa school fees? Alafu IST chenyewe kishule kidogo. Angalia ISK, St. Andrews Turi, Peponi school alafu uniambie. Halafu Brookhouse is not even the most expensive in Kenya kama ni school fees unataka kuangalia. Nadhani Kenya ISK ndio the most expensive ila kwa quality nikifananisha IST na internation Schools za Kenya hiyo IST bado sana.

ISK School Fees

View attachment 2548566


Tukiangalia kifedha ISK ndio the most expensive in the region. IST wanalipisha kuliko Brookhouse but ukiangalia value for money, Brookhouse iko mbele zaidi. Hiyo IST iko overpriced. Hapa Kenya hata top 10 haifiki kwa international schools. Hizi shule zimeishinda
1. ISK
2. Braeburn Lavington
3. St. Andrews Turi
4. Peponi School
5. Braeburn Garden Estate
6. Hillcrest
7. Greensteads
8. Rift Valley Academy
9. Rosslyn Academy
10. Nairobi International School
11. Brookhouse
Unaongelea quality ipi?
Quality of education au buildings?
 
Ahmes Secondary School
Pwani, Tanzania
images%20(41).jpg
images%20(42).jpg
images%20(43).jpg
 
Safaricom MPESA Academy - A public School. This one must be the best public school in Africa in terms of infrastructure. Hapa hata university za bongo haziguzi in terms of quality

Render
Safaricom-Mpesa-Academy.png


Reality
Mpesa.jpg
The-MPESA-Foundation-Academy.jpg
MPESA-Foundation-Academy.jpg
1.jpg
View attachment 2548380

Wabongo hii sii stadium, hii ni public school
Mpesa-Foundation-Academy-Swimming-pool-ft.jpg
screenshot-2019-07-23-at-12.32.53-2000x1326.png


Bongo nzima haina indoor arena, hapa public school iko na indoor arena

screenshot-2019-07-23-at-12.36.02-2000x1331.png


FYI sii shule ya matajiri hii, ni shule ya masikini wasiojiweza kifedha.

Black Rhino Academy
IMG_5302.jpg

IMG_5301.jpg

IMG_5300.jpg
 
Back
Top Bottom