ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Nionyesheni Shule iko na greenery kama hii hapo Tz, sio vumbi tupu. Only Uganda can compete with Kenya in terms of schools on this side of the continent.
![]()
Nionyesheni Shule iko na greenery kama hii hapo Tz, sio vumbi tupu. Only Uganda can compete with Kenya in terms of schools on this side of the continent.
![]()
Ati? We pumbavu kweli greenery mbona kawaida mashuleni!Nionyesheni Shule iko na greenery kama hii hapo Tz, sio vumbi tupu. Only Uganda can compete with Kenya in terms of schools on this side of the continent.
![]()
Nionyeshe greenery kwa hizo za BongolalaAti? We pumbavu kweli greenery mbona kawaida mashuleni!
Huna hoja we zoba.Jengo zenu za shule ni ovyo
Tunduma primary school,Bunyore Girls High School
![]()
Hivi mashoga Wana athari gani katika maendeleo ya nchi?, Kweli serikali ipoteze nguvu kushughulika na ushoga kweli?.Wakat tunatarajia VP wa USA kuja bongo.
Mama ana ubavu wa kukataa hizi mambo?
We jamaa unaonekaka ni mshamba sana. Yaani Tanzania ipo na High Schools zaidi ya 3,000 tukianza kuziweka hapa utaukimbia uzi huu. Sema su!! Uone.Nionyeshe greenery kwa hizo za Bongolala
Hatutakiwi kuongelea haya mambo. Mimi naona ni ujinga serikali kuanza kuongelea issues hizi kila wakati.Hivi mashoga Wana athari gani katika maendeleo ya nchi?, Kweli serikali ipoteze nguvu kushughulika na ushoga kweli?.
Mimi ninashauri tusiishie kwenye ushoga tu, Kuna Malaya wanaojiuza barabarani, Kuna waasherati wanaofanya uzinzi nje ya ndoa zao, Kuna viongozi wa dini wanaokula wanakondoo, Kuna maboss wanaotembea na makarani wao.
Tukianza kusema huo sio utamaduni wetu, Je kutembea na wake/waume za watu ni utamaduni wetu?. Je Rushwa ya ngono ni utamaduni wetu?, Wanafunzi kupewa mimba ni utamaduni wetu?.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nilimwambia kama anataka battle ya public schools aseme asifanye kmy kmynikianza kuweka shule za makanisa hutoboi, public schools zetu zipo vizuri kuliko private schools zenu
View attachment 2548268View attachment 2548269View attachment 2548270View attachment 2548271View attachment 2548272View attachment 2548273View attachment 2548274View attachment 2548275View attachment 2548276View attachment 2548277View attachment 2548278View attachment 2548279View attachment 2548280View attachment 2548281View attachment 2548282View attachment 2548283View attachment 2548284View attachment 2548285View attachment 2548286View attachment 2548287View attachment 2548288









Duh, we kweli zwazwa, sasa mtz ni wa kumuuliza swali kama hilo? Natumai alikupigaTuonyeshe moja kama hiyo.








Unataka tuende moja moja? Mana hizo shule alizoweka chongchung hakuna hata moja saizi yenu, ukweli usemwe.Ondoa huu uchafu hapa. Shule vumbi tupu.
Maaamaaaeeee, we umeweka kamoja kamoja mwenzio kakusanya kaweka kwenye comment moja na bado maelfu yamebakiMbona naona uchafu na vumbi tuu?










Nionyesheni Shule iko na greenery kama hii hapo Tz, sio vumbi tupu. Only Uganda can compete with Kenya in terms of schools on this side of the continent.
![]()















🔨🔨 Inagonga utosini kima unasikia maumivu tuu hapo 😁Mbona naona uchafu na vumbi tuu?
Sasa unaleta real photos vs Google satellite mapsKwamba hapa kuna kila kitu na nyumba za kishua?
Kama barabara yenyewe haipo sasa ni kipi inasema kipo? Wacha kunatumia nguvu nyingi kutetea ujinga za uswazi
View attachment 2547947View attachment 2547948View attachment 2547983View attachment 2547984View attachment 2547985View attachment 2547986View attachment 2547988View attachment 2547990
Githurai, an area where 90%
of the houses are apartment blocks, is considered a slum in Nairobi ila sioni nyumba ya mabati hapa and it's well organized than your uswazi hovels above View attachment 2547974View attachment 2547975View attachment 2547976View attachment 2547977View attachment 2547979


Utalia sana hii hapa ingine coming up 30FlrHamuhitaji hayo mambo kwa sasa, mnahitaji unga.