The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Usipate shida gharama yake hizo hapo chini, fees kubwa kabisa ni Ksh 2,505,000 ambazo ni sawa na Tzs (2,505000×17) = Tzs 42,585,000.Kama nilivyosema, nilitaka kupost shule za mtu wa kawaida. Ila kwa sababu umeuliza,
wacha niwape snipet of what an international school is supposed to look like muache aibu ndogo ndogo. Nimeona mwengine ameangalia cost ya IST anaona kama ni the highest in Africa. Mwambia agoogle hizi aone anavyojiabisha. Narudia, hiyo IST sii hadhi ya International school hapa Kenya. Hiyo ni normal private school tuu.
Brookhouse School
![]()
![]()
![]()
![]()
IST gharama zake, fees kubwa kabisa ni $33,300 kama Tzs mil 78. Nyie hamna kitu ni midomo tu mmebarikiwa.
Angalia hapa chini, hizo screenshot mbili za juu ni ada ya hiyo shule yenu ya gharama zaidi huko kwenu na hizo tatu za chini ni ada ya IST.
