chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Hata hii hali inayoendelea kwenye nchi yao saivi ingekua ni Tanzania ungeona kila media ya Kenya ina report tena kishabiki, influencers wao 24/7 wangekua wanainanga Tanzania lakini huoni media za Tanzania zikiongelea mambo ya Kenya zaidi ya huku JF, huoni influencers wa Tanzania wakiongelea chochote kutoka KenyaNi jambo la kusikitisha sana kwakweli kwanini umuombee binadamu mwenzio kifo.
