maumivu yake bado mnaugulia mpaka leohekaya za kitambo kuhusu pipeline
Dar SuburbsDAR ROTARY MARATHON 2017 PHOTOS BY VAROON ON FACEBOOK
![]()
![]()
![]()
![]()

She's simpleNingependa nimwoe Lulu...ila naskia ana maringo chungu nzima
wakati ukiendelea kutoa povu la kujifariji,acha nikudunge sindano nyingine.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
bloggers wa Kenya hulipwa pesa nyingi sana. unashangaa mtu anaanza kutweet tangu saa moja asubui hadi saa nne usiku 24/7/365 lakini maisha yake huyawezi na wala hatembei kwa mguu.maumivu yake bado mnaugulia mpaka leo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wakikuletea plz nitag😀😀😀😀msisitizo:
"wasee" wa pinnacle tuleeni hata picha tuone mafundi ujenzi wakiwa site.![]()
![]()
nilianza kuwaomba waniletee picha za mafundi wa pinnacle tower wakiwa site tangu mwezi wa july....mpaka leo hawajaleta picha.Wakikuletea plz nitag😀😀😀😀

Hilo jengo hadi limalizike ni 15years, hawa wakora jf watakuwa washazeeka kutokana na ugumu wa maisha walionao.nilianza kuwaomba waniletee picha za mafundi wa pinnacle tower wakiwa site tangu mwezi wa july....mpaka leo hawajaleta picha.
NB:
kuna kapicha kamoja tu kila siku ndio hakohako...ukiwakaba sana,huwa wanaka-upload.
haka hapa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Zitabaki kua renders and i love rendersnilianza kuwaomba waniletee picha za mafundi wa pinnacle tower wakiwa site tangu mwezi wa july....mpaka leo hawajaleta picha.
NB:
kuna kapicha kamoja tu kila siku ndio hakohako...ukiwakaba sana,huwa wanaka-upload.
haka hapa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
jipya?...wakenya bado mnaugulia maumivu ya kuporwa mradi wa pipeline na tz.jipya liko wapi?
Hilo jengo hadi limalizike ni 15years, hawa wakora jf watakuwa washazeeka kutokana na ugumu wa maisha walionao.

hizi porojo zako kawadanganye wakora na ma-jobless wenzio kule JamiiForums.com.bloggers wa Kenya hulipwa pesa nyingi sana. unashangaa mtu anaanza kutweet tangu saa moja asubui hadi saa nne usiku 24/7/365 lakini maisha yake huyawezi na wala hatembei kwa mguu.
Sgr ni rail...tunaiita trainGari moshi ya jirani zetu eti wanaita SGR😀😀