Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Utasema mbuzi ndio wamebebwa
IMG_0468.jpg
 
another big project is taking shape in dar es salaam.
the ongoing construction of kijichi - tuangoma road and bridges....to be completed on february/march 2018.

things are moving very fast as were planned...hapa kazi tu.
e36b3d73300dbf99e30bc054f8cd6baa.jpg
270351c04d1708d3721d184b3d29a9f9.jpg
596b1e1d5f49e65b7163cc5a9f73d0f1.jpg
c805b979deff38d25e342afe44365a2f.jpg
981b2b98b730d6e360acdc314a6da42a.jpg
 
nilianza kuwaomba waniletee picha za mafundi wa pinnacle tower wakiwa site tangu mwezi wa july....mpaka leo hawajaleta picha.

NB:
kuna kapicha kamoja tu kila siku ndio hakohako...ukiwakaba sana,huwa wanaka-upload.
haka hapa
6b3ea1a134f5f1d090c7b65de338121b.jpg
Hilo jengo hadi limalizike ni 15years, hawa wakora jf watakuwa washazeeka kutokana na ugumu wa maisha walionao.
 
bloggers wa Kenya hulipwa pesa nyingi sana. unashangaa mtu anaanza kutweet tangu saa moja asubui hadi saa nne usiku 24/7/365 lakini maisha yake huyawezi na wala hatembei kwa mguu.
hizi porojo zako kawadanganye wakora na ma-jobless wenzio kule JamiiForums.com.
 
Back
Top Bottom