El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Phone snatcher in the street of Nairobi
That's not 2017 news
Phone snatcher in the street of Nairobi
Which road is that from Mombasa to busia that has potholes. ...smh. ama there is another Kenya that we don't know ofNadhani ww ni mkenya husie tembea nchini kwenu,tz unaweza panda banz sport car kuanzia mtwara mbk mwanza kwa kutumia barabara ya lami bila ya kuona shimo,je kenya unaweza ukatoka nairobi mbk busia au maraba kwa tax saloon,si litatoka matairi yote,je hile road ya mombasa ndio ya kujivunia,kwanza tukija kwenye watu hakuna watu webye roho mbaya km nyie wakenya,na ndio mana hata mademu zenu wabaya kwa sura.
Phone snatcher in the street of Nairobi
Phone snatcher in the street of Nairobi
Tatizo povu. haya angalia na hesabu , unasema tractor kwani hilo shamba 😀😀😀😀 au ulidhani tunalima ufuta.
Sasa hesabu hizo tractor zako kwenye hizi videos

Phone snatcher in the street of Nairobi
What is this?!!!gari moshi😀😀😀😀😀😀😀
![]()
No no no ,this is thika near ngongo road opposite to Nairobi university few kilometers from kibera apartmentsOff topic kidogo, Toronto superhighway hii ni Canada
![]()
Tatizo povu. haya angalia na hesabu , unasema tractor kwani hilo shamba 😀😀😀😀 au ulidhani tunalima ufuta.
Sasa hesabu hizo tractor zako kwenye hizi videos
Naona hako ni kapovu kiwango cha lami.sawa mnajenga reli ya umeme...ndio mnaimba imba kana kwamba ndio reli ya kwanza duniani...tulieni ndugu zangu mwache ushamba...reli ni jambo la kawaida tu...leo hii, hamna mkenya ambaye huongelea reli...watu walishasahau na wanaendelea na maisha yao..nina uhakika mambo ni hayo hayo kule ethiopia..
mbona nyie mlikuwa mnapiga domo kama chiriku ...kuweni wapole .hapa ...kwa sasa mtuache na ikiisha tuna mpango wa kuanzisha jiji jipya ambalo litakuwa juu ya angasawa mnajenga reli ya umeme...ndio mnaimba imba kana kwamba ndio reli ya kwanza duniani...tulieni ndugu zangu mwache ushamba...reli ni jambo la kawaida tu...leo hii, hamna mkenya ambaye huongelea reli...watu walishasahau na wanaendelea na maisha yao..nina uhakika mambo ni hayo hayo kule ethiopia..

Naona hako ni kapovu kiwango cha lami.
Mambo haya ndugu
![]()
![]()
Achana na haya
![]()
yalaaa uwiiiii igwereeeemiafrika🙁🙁🙁🙁 imagine mwafrika kusini ama mjapan ama mwingreza akishangilia reli...watamwona mjinga...Naona hako ni kapovu kiwango cha lami.
Mambo haya ndugu
![]()
![]()
Achana na haya
![]()
Naona hako ni kapovu kiwango cha lami.
Mambo haya ndugu
![]()
![]()
Achana na haya
![]()
tulishangilia ndio ila baada ya miezi minne sasa maisha kama kawa...kushangilia vitu ambavyo vimekuwa miaka na mikaka....USA China, Europe Brazil walikuwa na hizi treni 1980s..imagine wazungu, waturuki ama wachina wakianza kusherehekea eti kisa wanajenga reli...si tutawaona wajinga ama washamba! thats the same thing herembona nyie mlikuwa mnapiga domo kama chiriku ...kuweni wapole .hapa ...kwa sasa mtuache na ikiisha tuna mpango wa kuanzisha jiji jipya ambalo litakuwa juu ya anga![]()
![]()
![]()
![]()