Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
as Africans we have this mentality of poverty so deeply rooted in our DNA ndio maana unaona mtu anashangilia kisa wanajenga reli ama barabara...kule first world ukifungua uzi kusherehekea mambo haya watakuona limbukeni...watakuona mshamba ama mjinga...barabara na reli kule zimekuwa kwa zaidi ya miaka 100...to them, building electric railways or flyovers is a way of life..not a privilege...its just like breathing or sleeping...nashukuru hawaelewi Kiswahili sababu wangekuwa wanaielewa lugha hii, ingekuwa ni aibu kubwa sana mmoja wao akiamua kupitia hizi nyuzi zetu...this also applies to me...hata mimi pia nimekuwa nikileta picha za reli hapa ila kila nikitazama mataifa ya nje, najiskia aibu kidogo...kwa hiyo, tuendele tu ila iwe ni siri yetu...