Mnaona mlivyo wajinga, huyu mlevi anachochea chuki ya kibiashara kati ya Kenya na Tanzania, ila kwasababu anasema Kenya imeizidi TZ kwa GDP kwenu mnamfurahia.
Sasa kunashida gani hicho kivuko kuja kutengenezwa Kenya Kama Kuna kampuni ambalo liko na vigezo na limetoa bei ya chini kuliko mengine, hivi hajui kwamba tulitangaza tender ya wazi kwa Dunia nzima?, Mbona wachina Kila siku wanapewa kazi lakini hapigi kelele, au anataka Tanzania isitoe KAZI kwa makampuni ya Kenya?.
Huyu ni mlevi Sana, alikua waziri wa Magufuli akaingia bungeni akiwa amelewa, akafukuzwa kati na Magufuli, kumbe Magufuli hakukosea, bure kabisa hili jamaa.
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app